Watoto 20 mtaani kwetu watolewa English Mediums na kurejeshwa Kayumba

Watoto 20 mtaani kwetu watolewa English Mediums na kurejeshwa Kayumba

Bongotunacheza

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2018
Posts
983
Reaction score
2,306
Ni kwamba uchumi umeyumba au shule za English Mediums zimekosa mvuto ama nini?

Mtaani kwetu watoto almost 20 walikokuwa wanasoma shule za Ems now wamerejeshwa Kayumba.

Hii imetokea ndani ya kipindi cha mwaka mmoja toka mwakani Septemba.

Mtaani kwangu siku hizi hakuna tena bus la njano.

Nilianza Mimi kuwatoa wangu Ems na kuwarejesha Kayumba now naona Mtaa mzima watoto wamaerudishwa Kayumba.

Je, walikuwa wana niiga Mimi? Au kusomesha watoto Ems ni kama fasheni tu au maisha yameshuka? But wazazi wana maisha ya kati sidhani kama wanaweza shindwa kumudu gharama za shule hizo.

Wamiliki wa English Mediums, jitafakarini sana. Shule zenu zimeanza kupungua mvuto kwa kasi ya ajabu sana..
 
Suala la English Medium kukosa watoto ni ndoto za mchana.
Shule nyingi zimejaa watoto hadi wanakosa nafasi.

Sio kweli mkuu. Huu ni uongo wa mchana kweupe kabisa. Shule nyingi za EMs darasa moja lina watoto 12 hadi 15. Mengine hadi wa 8
 
Yes, hakuna milele, yaani pesa siyo milele hasa usipoziheshimu pesa. Milele ni Mungu tu

Yote ni maisha, ulivyokwama wewe na wenzio hivyo hivyo, ila pambana hujui kesho yako itakuwaje,
 
Mimi nilishaweka sababu
Umezunguka weee lakini ujumbe wako umeuficha hapa. Yaani wanao uwatowe EM wewe halafu sabaabu uzipate kwetu
zangu muda mrefu kipato kilishuka nikawaleta Kayumba lakini pia in the due process nikagundua nilifanya uamuzi wa maana sana kuwaleta Kayumba wanangu.
 
Mimi nilishaweka sababu
Umezunguka weee lakini ujumbe wako umeuficha hapa. Yaani wanao uwatowe EM wewe halafu sabaabu uzipate kwetu
zangu muda mrefu kipato kilishuka nikawaleta Kayumba lakini pia in the due process nikagundua nilifanya uamuzi wa maana sana kuwaleta Kayumba wanangu.
 
Ni kwamba uchumi umeyumba au shule za English Mediums zimekosa mvuto ama nini?

Mtaani kwetu watoto almost 20 walikokuwa wanasoma shule za Ems now wamerejeshwa Kayumba.

Hii imetokea ndani ya kipindi cha mwaka mmoja toka mwakani Septemba.

Mtaani kwangu siku hizi hakuna tena bus la njano.

Nilianza Mimi kuwatoa wangu Ems na kuwarejesha Kayumba now naona Mtaa mzima watoto wamaerudishwa Kayumba.

Je walikuwa wana niiga Mimi? Au kusomesha watoto Ems ni kama fasheni tu au maisha yameshuka? But wazazi wana maisha ya kati sidhani kama wanaweza shindwa kumudu gharama za shule hizo.

Wamiliki wa English Mediums, jitafakarini sana. Shule zenu zimeanza kupungua mvuto kwa kasi ya ajabu sana..
Medium fashion tu na kujua lugha lakini kayumba 5 bora wa darasa hata waende wapi wanakuwaga vizuri sana
 
Ni kwamba uchumi umeyumba au shule za English Mediums zimekosa mvuto ama nini?

Mtaani kwetu watoto almost 20 walikokuwa wanasoma shule za Ems now wamerejeshwa Kayumba.

Hii imetokea ndani ya kipindi cha mwaka mmoja toka mwakani Septemba.

Mtaani kwangu siku hizi hakuna tena bus la njano.

Nilianza Mimi kuwatoa wangu Ems na kuwarejesha Kayumba now naona Mtaa mzima watoto wamaerudishwa Kayumba.

Je walikuwa wana niiga Mimi? Au kusomesha watoto Ems ni kama fasheni tu au maisha yameshuka? But wazazi wana maisha ya kati sidhani kama wanaweza shindwa kumudu gharama za shule hizo.

Wamiliki wa English Mediums, jitafakarini sana. Shule zenu zimeanza kupungua mvuto kwa kasi ya ajabu sana..
Mwamba Likud hupo wapi uzi unakuhusu

Cc LIKUD
 
Yes, hakuna milele, yaani pesa siyo milele hasa usipoziheshimu pesa. Milele ni Mungu tu

Yote ni maisha, ulivyokwama wewe na wenzio hivyo hivyo, ila pambana hujui kesho yako itakuwaje,
100% Fact. Hapo shuleni kwako hali ikoje lakini? Kuna siku Niliwahi kuona komenti yako mahali unasema wanaletwa watoto wa EM kwa kasi ya 5G
 
Wewe ni hali mbaya ya maisha yako
Pia inaweza kuwa sio hali mbaya ni maamuzi yako binafsi.
Suala la English Medium kukosa watoto ni ndoto za mchana.
Shule nyingi zimejaa watoto hadi wanakosa nafasi.
Kama ni kukosa wanafunzi zingeanza kukosa international school
 

Attachments

  • Screenshot_20240719-102846_(1).png
    Screenshot_20240719-102846_(1).png
    93.4 KB · Views: 7
Kama ni kukosa wanafunzi zingeanza kukosa international school
International Schools na English Mediums ni vitu viwili tofauti.

International Schools wanasoma watoto wa matajiri wenye uwezo.

English Mediums wanasoma watoto wa masikini wanao jistress na kujinyima ila walipe ada za watoto wao. ( watu wenye hela za mawazo)

Vitu viwili tofauti.
 
Mimi n mwalimu nmesoma kayumba n nmefundisha English medium kama tatu kwa kweli kama pesa si za mawazo watoto wangu hawasomi kayumba
 
Back
Top Bottom