real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,299
Lori la mizigo lapoteza mwelekeo na kugonga nyumba ya na kuuwa watoto 4 na kumjeruhi mmoja vibaya megonga nyumba
watoto hao walikuwa na umri kati ya miaka 12 na 17 lori hilo lilikuw linabeba mchanga kutoka Nyamitaburo kwenda Mabera, dereva wa lori hilo alikimbia baada ya ajali hiyo na polisi wanamtafuta
Mama wa watoto hao aliponea chupuchupu kwa kuwa alikuwa amelala chumba tofauti
Chanzo: Citizen Tv
watoto hao walikuwa na umri kati ya miaka 12 na 17 lori hilo lilikuw linabeba mchanga kutoka Nyamitaburo kwenda Mabera, dereva wa lori hilo alikimbia baada ya ajali hiyo na polisi wanamtafuta
Mama wa watoto hao aliponea chupuchupu kwa kuwa alikuwa amelala chumba tofauti
Chanzo: Citizen Tv