Watoto 5716 wamelawitiwa nchini Kwenye kipindi cha Mwaka 2016 hadi 2021

Watoto 5716 wamelawitiwa nchini Kwenye kipindi cha Mwaka 2016 hadi 2021

Sildenafil Citrate

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2021
Posts
577
Reaction score
2,595
Tatizo la kulawitiwa kwa watoto linalizidi kushika kasi nchini huku idadi ya visa vilivyoripotiwa kwenye kipindi cha mwaka 2016-21 vikiwa ni 5716 huku 87% ya visa hivi vikihusisha watoto wa kiume.

Mgawanyiko wa idadi ya wahanga ipo kama ifuatavyo-
  • Mwaka 2016, wasichana walikuwa 50 na wavulana 487
  • Mwaka 2017, wasichana walikuwa 59 na wavulana 442
  • Mwaka 2018, wasichana walikuwa 133 na wavulana 1,026
  • Mwaka 2019, wasichana walikuwa 212 na wavulana 1,193
  • Mwaka 2020, wasichana walikuwa 115 na wavulana 885
  • Mwaka 2021 kwa pamoja jumla ya watoto 1,114 walilawitiwa

8420BE42-8CF1-4C61-87B6-DD534530D3ED.jpeg


Unadhani nini chanzo cha kuongezeka kwa janga hili? Kipi kifanyike kulikomesha?

Chanzo: The Chanzo
 
Tatizo nini masharti ya waganga? Malaya wamekua adimu, pesa hamna au wanawake wanabana?
 
Mikoa vinara...Njombe✅ Iringa✅ Geita✅ Tabora✅ Mbeya✅ Tanga✅ Mwanza✅ Mwanza✅
 
Miaka inaenda mbele namba pia zinaenda mbele
 
Back
Top Bottom