Hivi si niliona Babu akiasa juu ya uchakachuzi wa hii thread ambayo ni useful yenye kutugusa wengi kwka namna moja au nyingine?? Waone vile
LD unafikiri kwa nini Mama anawezakuwa na chuki kiasi cha kumnyima mtoto wake haki ya kuwa na Baba yake?
Bwa' shem mtakatifu RR.....asante kwa ushauri murua...mtu kama Babu Asipirini linamgusa moja kwa moja...
BTW Ukiona Manyoa..Ujue Ashaliwa huyo...
Bon Appetite'?..!
Aisee we dogo hili dhalilisho kama la Bi. Shelukindo......... nahesabu 1.............. 2................Bwa' shem mtakatifu RR.....asante kwa ushauri murua...mtu kama Babu Asipirini linamgusa moja kwa moja...
BTW Ukiona Manyoa..Ujue Ashaliwa huyo...
Bon Appetite'?..!
Mmmh hawa watakatifu wazamani, wanakuaga na point siku ya Ijumaa kweli? Dah ubarikiwe kwa somo zuri.
hahaha inabidi niulize kama jana umelalia ubavu upi manake sikujua kama Ijumaa imeshafika? LOL
halafu umemchafua Hommie mtakatifu wa zamani, inabidi umsafishe asiee...inauma sana
mtafutie RB ukimwona tu kamata tupa selo kesho yake mahakamani...iwe funzo kwa wengine....
Nyie watu hapo juu........ hili yuziful sred mnalijadilia ubazazi gani?Mmmh ex-Saint ni nini? Ndio maana haiwezekani point zitoke ijumaa bana kumbe ni pre-friday Kaizary! Abarikiwe ex-mtakatifu.
Naona hawakuiona, nimeibandika tena hapo chini..... Atakayekiuka maagizo ya babu, ntatema mate chini akojolee puani!Hivi si niliona Babu akiasa juu ya uchakachuzi wa hii thread ambayo ni useful yenye kutugusa wengi kwka namna moja au nyingine?? Waone vile
LD unafikiri kwa nini Mama anawezakuwa na chuki kiasi cha kumnyima mtoto wake haki ya kuwa na Baba yake?
Aisee hili sredi halifai kuchakachulika aisee....... Ni mapwenti tu!
ODM anaunga mkono hoja na ushauri wa kijana wangu wa ubatizo....
Acheni kutumia watoto kama silaha ya kukomoana
Acheni kutumia watoto kama chambo cha kurudisha uhusiano ulioparanganyika ambao hata mkirudiana bado ni maumivu kwa mmoja wenu.
Na hili ndilo Neno la Mungu.
You are right.......ila ni vema baba akapewa nafasi ya kwanza baada ya mama....hiyo ya mama mdogo/shangazi n.k itoke kwa baba...
Kuna kesi nimeona mama kung'ang'ania mtoto ilhali hana uwezo kabisa wa kukaa nae....ofkoz akizingatia zaidi maslahi yake....
Experience mbaya kabisa!
Jamaa yangu baada ya kuachana na mkewe, mke alimsafirisha kabinti ka mwaka mmoja kukapeleka akalelewe na Babu na bibi yake kijijini. Yeye mama ni muajiriwa mjini, na baba mfanyabiashara mkubwa tu. Kila jamaa yangu alipodai mtoto alishia patupu.
Mbaya kuliko yote, wazazi wa mke hawakutoa ushirikiano wakati wa uchumba mpaka ndoa, na sasa ndoa imekufa ndio kabisa jamaa yangu hawezi hata kutia mguu huko ukweni.
Kesi ipo mahakamani huyu ndugu yangu anadai haki ya kukaa na mwanawe, pesa zinaliwa tu...
Imagine kabinti ambako muda huu kangekuwa kanakula raha mjini, leo hii yupo kijijini huko?..aarrghhh, inauma sana.
Kuna kitu sikielewi....sheria inataka mtoto akae na mama....au sheria inampa mama haki ya kuamua mtoto akae wapi.....
Ukishaelewa usisahau kunifahamisha na mimi pia. Ako konfyuzd pia.Kuna kitu sikielewi....sheria inataka mtoto akae na mama....au sheria inampa mama haki ya kuamua mtoto akae wapi.....
Experience mbaya kabisa!
Jamaa yangu baada ya kuachana na mkewe, mke alimsafirisha kabinti ka mwaka mmoja kukapeleka akalelewe na Babu na bibi yake kijijini. Yeye mama ni muajiriwa mjini, na baba mfanyabiashara mkubwa tu. Kila jamaa yangu alipodai mtoto alishia patupu.
Mbaya kuliko yote, wazazi wa mke hawakutoa ushirikiano wakati wa uchumba mpaka ndoa, na sasa ndoa imekufa ndio kabisa jamaa yangu hawezi hata kutia mguu huko ukweni.
Kesi ipo mahakamani huyu ndugu yangu anadai haki ya kukaa na mwanawe, pesa zinaliwa tu...
Imagine kabinti ambako muda huu kangekuwa kanakula raha mjini, leo hii yupo kijijini huko?..aarrghhh, inauma sana.
Experience mbaya kabisa!
Jamaa yangu baada ya kuachana na mkewe, mke alimsafirisha kabinti ka mwaka mmoja kukapeleka akalelewe na Babu na bibi yake kijijini. Yeye mama ni muajiriwa mjini, na baba mfanyabiashara mkubwa tu. Kila jamaa yangu alipodai mtoto alishia patupu.
Mbaya kuliko yote, wazazi wa mke hawakutoa ushirikiano wakati wa uchumba mpaka ndoa, na sasa ndoa imekufa ndio kabisa jamaa yangu hawezi hata kutia mguu huko ukweni.
Kesi ipo mahakamani huyu ndugu yangu anadai haki ya kukaa na mwanawe, pesa zinaliwa tu...
Imagine kabinti ambako muda huu kangekuwa kanakula raha mjini, leo hii yupo kijijini huko?..aarrghhh, inauma sana.
Mheshimiwa Moskwito..........Experience mbaya kabisa!
Jamaa yangu baada ya kuachana na mkewe, mke alimsafirisha kabinti ka mwaka mmoja kukapeleka akalelewe na Babu na bibi yake kijijini. Yeye mama ni muajiriwa mjini, na baba mfanyabiashara mkubwa tu. Kila jamaa yangu alipodai mtoto alishia patupu.
Mbaya kuliko yote, wazazi wa mke hawakutoa ushirikiano wakati wa uchumba mpaka ndoa, na sasa ndoa imekufa ndio kabisa jamaa yangu hawezi hata kutia mguu huko ukweni.
Kesi ipo mahakamani huyu ndugu yangu anadai haki ya kukaa na mwanawe, pesa zinaliwa tu...
Imagine kabinti ambako muda huu kangekuwa kanakula raha mjini, leo hii yupo kijijini huko?..aarrghhh, inauma sana.
Uhakika wa kwamba angekua mjini angekua anakula raha ungetoka wapi?!Kukaa kijijini kunamkosesha raha ipi haswa kama analelewabila manyanyaso?!Kuona magari?!Huyo baba angemlea mwenyewe nyumbani au angemwacha na mama wa kambo/mfanyakazi?!Una uhakika gani kama ndivyo angelelewa vizuri?!
Wakati mwingine inabidi kabla ya mama au baba kulilia kukaa na mtoto kwa kisingizio cha nna pesa aangalie kama atakua na muda kweli na huyo mtoto au la.Na kama hatakua na muda je atakaemwachia mtoto ana ukaribu nae kiasi gani cha kuweza kumwamini hata kumwachia mwanae.Huyo unayemwongelea yeye ni kama anashindana tu kwasababu anataka kukomoana na mama mtu.Though sio wote wamama wengi wanajua nini ni bora kwa watoto wao.Na huyo mama nampongeza kwasababu atakua ameona kwamba kwa shughuli zake hawezi kua na mwanae muda mrefu kwahiyo akaamua kumpeleka kwa wazazi wake waliomlea yeye (hivyo anawafahamu vizuri pamoja na malezi yao) wamsaidia na kumpa mtoto nafasi ya kua karibu na watu ambao ni ndugu zake.
Kwa mara nyingine nadhangaa kauliz yako ya ‘mtoto yuko kijijini wakati angekua mjini anakula raha‘ kwasababu raha hazipo kwenye mji au kijiji bali kwenye malezi na mazingira anayokulia mtoto.Binafsi nililelewa kijijini na bibi yangu na kaka yangu akalelewa mjini ila sikuwahi kumuonea wivu au na mimi kutaka kuhamia mjini.Na nilipoulizwa nilikataa even though nilikua naenjoy kufanyiwa kila kitu na wafanyakazi nikienda likizo bado niliyapenda zaidi maisha ya kijijini.Sehemu ambayo nilikua huru kucheza barabarani bila kuogopa magari,kucheza na watoto wengine kwasababu hakukua na mageti ya kufungiwa ndani na pia kujifunza vitu ambavyo watu wa mjini hawana muda navyo.Kwahiyo hiyo dhana ya kwamba mjini ndo kwenye raha ondoa..hamna sehemu zuri ya kukua kama una familia nzuri kama kijijini.Mwenyewe natamani siku moja mtoto wangu apate expirience nilizopata mimi kipindi hicho ambazo nna uhakika maisha ya mjini hayawezi kumpa.
Thank you daddy···for everything.Daddy reared you well! You make him so proud.
Mbu hii case imeniuma saaaana... mana inaonekana afadhali hata jamaa anajali welfare ya mtoto kuliko hata mama... Kweli ulimwengu wa leo hii mtu unaishi hapa mjini usione wala usielewe umuhimu wa exposure ya mtoto mjini ni nini?? Huko kijijini sisemi kua ni kubaya BUT ukweli ni kwamba ukitaka umwandae mwanao vizuri - then ni bora alelewe na wewe mjini.... Yaaaani unaniambia kabla ya mahakamani alitumia taratibu na busara zoote lakini bado akagonga mwamba?? (in red 100% reciprocated...Sad...)
Uhakika wa kwamba angekua mjini angekua anakula raha ungetoka wapi?!Kukaa kijijini kunamkosesha raha ipi haswa kama analelewabila manyanyaso?!Kuona magari?!Huyo baba angemlea mwenyewe nyumbani au angemwacha na mama wa kambo/mfanyakazi?!Una uhakika gani kama ndivyo angelelewa vizuri?!
Wakati mwingine inabidi kabla ya mama au baba kulilia kukaa na mtoto kwa kisingizio cha nna pesa aangalie kama atakua na muda kweli na huyo mtoto au la.Na kama hatakua na muda je atakaemwachia mtoto ana ukaribu nae kiasi gani cha kuweza kumwamini hata kumwachia mwanae.Huyo unayemwongelea yeye ni kama anashindana tu kwasababu anataka kukomoana na mama mtu.Though sio wote wamama wengi wanajua nini ni bora kwa watoto wao.Na huyo mama nampongeza kwasababu atakua ameona kwamba kwa shughuli zake hawezi kua na mwanae muda mrefu kwahiyo akaamua kumpeleka kwa wazazi wake waliomlea yeye (hivyo anawafahamu vizuri pamoja na malezi yao) wamsaidia na kumpa mtoto nafasi ya kua karibu na watu ambao ni ndugu zake.
Kwa mara nyingine nadhangaa kauliz yako ya ‘mtoto yuko kijijini wakati angekua mjini anakula raha‘ kwasababu raha hazipo kwenye mji au kijiji bali kwenye malezi na mazingira anayokulia mtoto.Binafsi nililelewa kijijini na bibi yangu na kaka yangu akalelewa mjini ila sikuwahi kumuonea wivu au na mimi kutaka kuhamia mjini.Na nilipoulizwa nilikataa even though nilikua naenjoy kufanyiwa kila kitu na wafanyakazi nikienda likizo bado niliyapenda zaidi maisha ya kijijini.Sehemu ambayo nilikua huru kucheza barabarani bila kuogopa magari,kucheza na watoto wengine kwasababu hakukua na mageti ya kufungiwa ndani na pia kujifunza vitu ambavyo watu wa mjini hawana muda navyo.Kwahiyo hiyo dhana ya kwamba mjini ndo kwenye raha ondoa..hamna sehemu zuri ya kukua kama una familia nzuri kama kijijini.Mwenyewe natamani siku moja mtoto wangu apate expirience nilizopata mimi kipindi hicho ambazo nna uhakika maisha ya mjini hayawezi kumpa.