Watoto....best interest.....


Pardon my papito..he just want to understand what you guys are all about in here.

It's okay BabyGal....let him pout. Most grown men I know aren't that sensitive and they are usually straightforward when you ask them a question. So just let him be.

Your papito has done nothing wrong babie....... dont you worry..... Ol' Dirty Mbuzi is ok.

Alright..thank you daddy for being here.

I think we are done with this issue of mama vs papa..rural vs urban areas child raising so we can get outta here.

C'mon babie...... I never put no body in my Ignore list...... and why should I do that? Thanks for your caring..... you are an angel on earth. Even your avatar tells it all.

Haya yote ni matatizo ya UMEME!.......... Ngeleja where r u @?

Yes, let's be done with it lest we offend more people. Now go tidy up your room so we can get going. Guess where I'm taking you to today?

Glad to hear that..

You are welcome!

All done.

Mmmh where?! And hey don‘t forget about my wish list..


Where is paw...when need!
 
Kuna tukio kama hili:

Baada ya binti kumaliza chuo kikuu, mama yake akamwambia binti akamuonyeshe baba yake halisi......... Yaani mida yote amekaa na mtu akidhania ni baba yake kumbe si baba yake. Imagine!......... ngoja nisiendelee manake chozi laweza kunitoka bure....
 

Raha kwa alie/atakaekuwa mzazi mwenzako...Una busara kupita maelezo!!

Nice thread mkuu iliyojaa michango yenye maana katika jamii mana hili suala lipo sana tu!!
 

Mbu I think something is wrong somewhere kwa hii kesi........
1. Ilikuwaje mama akaamua kumsafirisha mtoto kwenda kwa wazazi wake? Kigezo au sababu ya kumsafirisha ilikuwa ni nini?
2. Utaratibu gani ulifuatwa katika kutekeleza hii 'forced transfer' ya mtoto? Baba alijulishwa au ndo ilikuwa kama kumtorosha??

Sheria inasemaje juu ya hili au imekaa kimya?
 

Kuna swali langu Mbu kasema anagugo mabrasha yake...
Mama ana haki gani kwa mtoto wa chini ya miaka 7?

  • Kukaa na mtoto au
  • Hata kuamua mtoto akae wapi.....
Japo la muhimu sio content za sheria....la muhimu ni mtoto kupata kilicho bora toka kwa wazazi wote.
 

BabyGal umeuliza swali la msingi sana ni kweli hakuna guarantee lakini pia kama nimemsoma vizuri Mbu hakusema kuwa mtoto angekuwa mjini AKILELEWA NA BABA angefaidi kuliko kuishi kijijini. Nilivyoelewa ni kuwa wazazi wote wawili wa mtoto huyu wako mjini wakati mtoto wamemwacha kijijini why? kwa nini asikae mjini na huyo mama yake?? Kwa hali ya maisha ilivyo sidhani kama kuna mzazi ambaye angekuwa na uwezo angeamua tu kumpeleka mwanae kijijini ilihali maisha ya kule yanajulikana. Ni ngumu kwa kweli.

Lakini pia nakubaliana na point yako kwa sababu ni kweli kumlea mtoto viizuri ni zaidi ya mahali pa kuishi, malazi, mavazi............Malezi (Rearing) ni tofauti na Matunzo (provision)!


Sawa kabisa............ ndio maana uwezo tunauwekea 'UWEZO" zaidi ya pesa, awe na uwezo kiakili, muda n.k.
 
Miaka 7. Hivi miaka 7 mtoto anakuwa na upeo gani mpaka "sheria" ndo ikaamua sasa baba anaweza "kummiliki" kutoka kwenye "miliki" ya mama?
 

Sasa usipojua content za sheria utaelewaje kama Mama anaruhusiwa an haruhusiwi kumlea mtoto alokabidhiwa kisheria kwa "Remote control" pengine sheria ina loophole hiyo ya kuwa mradi imesema mtoto chini ya miaka 7 akae kwa mama lakini haitilii mkazo wa kutomhamishia kwa bibi/ma mkubwa au mdogo!

Kupata kilichobora kutoka kwa wazazi wote wawili nakubaliana na wewe lakini kuhakikisha kama anakipata kweli ndio changamoto........ ni vema tukajua kwanza nini lengo au nia ya kumtaka mama abaki na mtoto aliye chini ya miaka 7. Kwa nini sheria iliamua hivyo; nini kilikuwa kigezo!
 

Mwj1, ...hebu msome Aspirin hapa...;


Iweje binti mpaka amalize chuo kikuu ndio aje atambulishwe huyu sio baba'ko? Dhulma kiasi gani kwa mtoto hiyo?
kumjua Biological Dad wake?

...ilikuwaje ni ngumu kusema, ila wa baba wengi hutumia busara kwamba mtoto ni mdogo acha mama mtu aondoke nae.
Hayo mambo ya utaratibu nk yanapotokea maugomvi Mwj1 hakunaga na formula bana, yanalipukwa tu,...unajishtukia
mama na watoto wameshaondoka wewe umebakia na nyumba yako. Ngumu sana kuelezea, kwani kila mtu anakumbwa na
experiences zake, ila hakuna cha ajabu kuwa mama wengi huondoka na watoto wao.

Hapo kwenye sheria usimamizi na utekelezaji wake sahau.
 
Kisaikolojia mtoto anaweza kuwa trained kuwa unavyotaka awe up to seven (7) years baada ya hapo hakunjiki. Labda wameangalia hilo. Brain ya mtoto inakuwa flexible up to seven years baada ya hapo anaanza naye ku argue and ask "why?".

Miaka 7. Hivi miaka 7 mtoto anakuwa na upeo gani mpaka "sheria" ndo ikaamua sasa baba anaweza "kummiliki" kutoka kwenye "miliki" ya mama?
 

MJ1 bila hata ya kuangalia sheria....mtoto mdogo (sijui udogo unaishia wapi tho) kukaa na mama yake mzazi ni the best option ya malezi....
Naposema muhimu sio content za sheria namaanisha wazazi wawili wakubaliane kuhusu njia bora zaidi ya kumlea mtoto/watoto wao...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…