Unene husababishwa aidha ni genetic (kwamba unene ni wa kuridhi ) au kula sana vyakula ambavyo ni unhealthy (chokollete, pipi, vyakula vyenye sukari nyingi, vyakula vyenye mafuta mengi). au mtoto kuwa mvivu kucheza yaani yeye ni computer au TV,
Madhara, unene hukizidi hunakuwa Obesity na hapa mtoto wanaweza kupata matatizo mbalimbali kama Kisukari, matatizo ya moyo na nk.
Kitu ambacho unaweza kuzuia ni hakikisha mtoto wako anakula healthy foods, hasile sana vitu kama sweets au vitu vya mafuta mengi, au kama mafuta basi mafuta ya mimea ni mazuri zaidi jaribu kumcontrol (kumbuka mtoto huwezi kumyima chokolate au pipi kabisa) Matunda, samaki, mboga za majani ni muhimu sana kwa mtoto.
Jaribu kumfanya mtoto hawe activ anaweza kukimbia, kucheza mpira, kutembea, kucheza sana na wenzake, hasikae sana kwenye TV au Computer.
Alinda