Ilikuwa ni siku ya mtoto wa afrika,Juma alikuwa akisikiliza kipindi cha watoto katika redio,na mtangazaji alikuwa akimuhoji David kuhusiana na siku hiyo.
Mtangazaji: David,ungependa serikali iwafanyie nini nyie watoto hasa ukichukulia leo ni siku yenu?
David:Mie naomba serikali itupe sisi watoto kipaumbele.
Juma aliyekuwa akisikiliza:Watu wengine bwana,badala ya kuomba gari,eti tupewe kipaumbele! Kwanza kipa uwa akai mbele.Huku akionesha kukasirika.