Pre GE2025 Watoto wa 2000 ndo wataitoa CCM madarakani

Pre GE2025 Watoto wa 2000 ndo wataitoa CCM madarakani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Manfried

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2024
Posts
1,288
Reaction score
4,074
Ipo siku mtakumbuka huu Uzi Ila nawaambia vijana wa 2000 ndo wataleta mabadiliko ya kweli katika hili Taifa.

Hiki ndo kizazi kimezaliwa katika nyakati ngumu sana, kizazi ambacho mtu anasoma degree Ila anakuja kulipwa 150K

Kizazi kinachopitia mateso .

So hiki kizazi Serikali inatumia nguvu kubwa kukifanya kifatilie mpira wa yanga na simba Ila hawatofanikiwa.
 
Ipo siku mtakumbuka huu Uzi Ila nawaambia vijana wa 2000 ndo wataleta mabadiliko ya kweli katika hili Taifa.


Hiki ndo kizazi kimezaliwa katika nyakati ngumu sana, kizazi ambacho mtu anasoma degree Ila anakuja kulipwa 150K

Kizazi kinachopitia mateso .

So hiki kizazi Serikali inatumia nguvu kubwa kukifanya kifatilie mpira wa yanga na simba Ila hawatofanikiwa.
 

Attachments

  • 5811771-84b12f6d5ff81d807821a183416ac2ed.mp4
    648.4 KB
Ipo siku mtakumbuka huu Uzi Ila nawaambia vijana wa 2000 ndo wataleta mabadiliko ya kweli katika hili Taifa.


Hiki ndo kizazi kimezaliwa katika nyakati ngumu sana, kizazi ambacho mtu anasoma degree Ila anakuja kulipwa 150K

Kizazi kinachopitia mateso .

So hiki kizazi Serikali inatumia nguvu kubwa kukifanya kifatilie mpira wa yanga na simba Ila hawatofanikiwa.
CCm daima
 
Kwamba wao hawaogopi risasi....shida hapa ni siasa zetu za kijamaa.... developing fear and taking our Identity.
Ccm itatolewa na Ccm.
 
Ipo siku mtakumbuka huu Uzi Ila nawaambia vijana wa 2000 ndo wataleta mabadiliko ya kweli katika hili Taifa.


Hiki ndo kizazi kimezaliwa katika nyakati ngumu sana, kizazi ambacho mtu anasoma degree Ila anakuja kulipwa 150K

Kizazi kinachopitia mateso .

So hiki kizazi Serikali inatumia nguvu kubwa kukifanya kifatilie mpira wa yanga na simba Ila hawatofanikiwa.
Hakuna kizazi kimepitia mateso nchi hii' kuzidi cha 1970s-1980s,shule hakuna,chuo kikuu kimoja,ajira hakuna,maisha magumu siyo kama nyuma, barabara vumbi/tope,kila kitu utumie nguvu
 
Tatizo vyama pinzani havina nguvu.
Kingine uwezo wa kufikiri wa hao vijana sasa,
Kwa ufupi... forget about it
 
Ipo siku mtakumbuka huu Uzi Ila nawaambia vijana wa 2000 ndo wataleta mabadiliko ya kweli katika hili Taifa.

Hiki ndo kizazi kimezaliwa katika nyakati ngumu sana, kizazi ambacho mtu anasoma degree Ila anakuja kulipwa 150K

Kizazi kinachopitia mateso .

So hiki kizazi Serikali inatumia nguvu kubwa kukifanya kifatilie mpira wa yanga na simba Ila hawatofanikiwa.
Usisahau kizazi chenye udumavu mkubwa wa lishe.
 
Hakuna kizazi kimepitia mateso nchi hii' kuzidi cha 1970s-1980s,shule hakuna,chuo kikuu kimoja,ajira hakuna,maisha magumu siyo kama nyuma, barabara vumbi/tope,kila kitu utumie nguvu
Miaka hiyo vijana walikua waoga kupita maelezo ila miaka hii vijana wanaujasiri
 
Mimi miongoni mwa kizazi Cha 2000 , ninachojua wengi hawapendi kufuatilia mambo ya siasa kabisa.
 
Unadhani akitoka CCM atakaeingia zaidi ya changes za initials kutakuwa na mabadiliko makubwa zaidi ya initials ? The whole political system worldwide is rotten; a bunch of self serving individuals..., kama mambo hayatabadilika kutakuwa na some sort of revolution duniani the like of french revolution then other countries leaders will start taking note..., Kwa sasa naona wimbi linaloendelea ni la Populists ndio watakuwa wanashinda kutokana na siasa la kulaumu tabaka fulani (though they will not bring any major change);

Kwa bongo bado watu wana hope kwahio bado kuna leeway wa walamba asali kujirudi unless kesho nayoiona inatisha...
 
Unadhani akitoka CCM atakaeingia zaidi ya changes za initials kutakuwa na mabadiliko makubwa zaidi ya initials ? The whole political system worldwide is rotten; a bunch of self serving individuals..., kama mambo hayatabadilika kutakuwa na some sort of revolution duniani the like of french revolution then other countries leaders will start taking note..., Kwa sasa naona wimbi linaloendelea ni la Populists ndio watakuwa wanashinda kutokana na siasa la kulaumu tabaka fulani (though they will not bring any major change);

Kwa bongo bado watu wana hope kwahio bado kuna leeway wa walamba asali kujirudi unless kesho nayoiona inatisha...
Fact
 
Hakuna majitu yaliyozubaa kama hiki kizazi Cha 2000. Wamechangamka kwenye vitu kijingajinga kama kiki, mpira, mapenzi lakini sio kwenye mustakabadhi wa taifa
 
Back
Top Bottom