Uzoefu unaonesha kuwa hata Mababa nao huwa ni wenyeji wa maeneo kama hayo. Halafu unaposema kuwa shuka ilijaa damu unataka kuiambia Hadhira hii kwamba huyo Mdada alikuwa Bikra, lakini katika hali ya kawaida mabikra huwa hawana tabia ya kujilengesha kiasi hicho, mara nyingi huwa wanabakwa; na kama ukijaribu kumbaka Bikra atapiga kelele mpaka umwachie. Aidha, uzoefu unaonesha kuwa mabinti ambao mama anakuja naye kuvunja ndoa ya mwenzake hawana tabia nzuiri na sio wazuri wa kuoa kwa sababu kajifunza tabia mbaya kutoka kwa mama yake.