Mtemikwila
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 1,389
- 1,063
Jana Mtoto wa Dada yangu aliniuliza swali la kizushi, Eti Mjomba ukichanganya OMO na FOMA unaweza kupata povu??
Nikamjibu, Lazima upate kwa kuwa zote ni sabuni za unga.
Kisha nikamwambia,Siku nyingine usiwe unauliza maswali ya kipumbavu.
Akaniambia majibu yako ndio yakipumbavu. Utapataje povu bila kuweka na maji?
Tangu Jana najiuliza nimekosaje swali kizembe?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[HASHTAG]#sasa[/HASHTAG] namtafutia sababu afanye kosa nimtie bakora za maana kwa kunivunjia heshima.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikamjibu, Lazima upate kwa kuwa zote ni sabuni za unga.
Kisha nikamwambia,Siku nyingine usiwe unauliza maswali ya kipumbavu.
Akaniambia majibu yako ndio yakipumbavu. Utapataje povu bila kuweka na maji?
Tangu Jana najiuliza nimekosaje swali kizembe?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[HASHTAG]#sasa[/HASHTAG] namtafutia sababu afanye kosa nimtie bakora za maana kwa kunivunjia heshima.
Sent using Jamii Forums mobile app