Eminem jr JF-Expert Member Joined May 21, 2018 Posts 2,003 Reaction score 4,584 Jun 6, 2024 #1 Way way back, Hizi chuma kipindi tunakuwa zingine zilikuwa zinafichwa kwenye kabati. Mambo yetu yale pale, mezani zinawekwa za lufufu tu sasa ujichanganye ukaweke za mzee kwenye deki na umeme ukatike ibaki humo.
Way way back, Hizi chuma kipindi tunakuwa zingine zilikuwa zinafichwa kwenye kabati. Mambo yetu yale pale, mezani zinawekwa za lufufu tu sasa ujichanganye ukaweke za mzee kwenye deki na umeme ukatike ibaki humo.
D DATAZ JF-Expert Member Joined May 25, 2012 Posts 3,799 Reaction score 10,196 Jun 6, 2024 #2 Sasa umeweka kura za Nini hapo? Wazee wa zamani bwana..!
fundi bishoo JF-Expert Member Joined Jun 26, 2018 Posts 14,264 Reaction score 27,132 Jun 6, 2024 #3 DATAZ said: Sasa umeweka kura za Nini hapo? Wazee wa zamani bwana..! Click to expand... wazoee wazee washaanza kuzeeka sasa
DATAZ said: Sasa umeweka kura za Nini hapo? Wazee wa zamani bwana..! Click to expand... wazoee wazee washaanza kuzeeka sasa
Etugrul Bey JF-Expert Member Joined Aug 6, 2020 Posts 6,514 Reaction score 15,247 Jun 6, 2024 #4 Kweli tekinolojia inakimbia sana