Watoto wa Kiafrika na Kizungu

LivingBody

Senior Member
Joined
Nov 21, 2010
Posts
166
Reaction score
15
Habari wana jamii,
Nina imani nipo kwenye jukwaa sahihi kama sivyo basi mtanilekebisha hii ningeiweka wapi.

Kuna kitu huwa kinanisumbua akili yangu siku zote juu ta watoto wachanga wanapokuwa wanazaliwa, Nijuavyo mimi Vichanga vya Kiafrika vikizaliwa huwa na nywele kichwani,,, sasa kwa hawa wenzetu wazungu Vichanga huwa vinazaliwa bila nywele.
sasa hii kitu huwa sielewi inakuwaje hapo,,, Naombeni msaada wenu juu ya hilo.

asanteni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…