Watoto wa kishua

escrowaccount

Member
Joined
Jan 16, 2015
Posts
98
Reaction score
22
:A S-baby:Wana wakuu.

Kwa uzoefu mdogo nlionao nimegundua kuna tofauti kubwa sana wa kimapenzi kati ya mademu wa kishua na wale wa kajamba nani,demu wa kishua akikupenda kakupenda kweli.

Ila wale wahali duni akikupenda jiulize mara mbili mbili kakupendea nini, wengi wao sio mapenzi ni anakupendea ulichonacho eg pesa ili apone njaa.

Mimi nina mfano hai,kuna mtoto wa kishua kaniganda kama nini, na wala hataki chochote changu, namfanyia visa tuachane bado tu hasikii sitaki kumuoa.

Kwa sababu ni mchaga na mimi msichana wa kichaga sitaki awe mke wangu, huwa nagonga tu nasepa.Kwa hili nimegundua mapenzi ya kweli yapo kwa watoto wa kishua kwa asilimia kubwa.

Samahani kama mada imekukwaza.
 
Nimejifunza...kuwa

-Wewe ni mbaguzi na mkabila
-Wewe ni handsome boy unagonda wadada
-Unageneralise issue based on 1 reference.
-Wewe ni wale wasiohonga wanawake
-Hujaona dunia au inexperienced na maisha
 
Nimejifunza...kuwa

-Wewe ni mbaguzi na mkabila
-Wewe ni handsome boy unagonda wadada
-Unageneralise issue based on 1 reference.
-Wewe ni wale wasiohonga wanawake
-Hujaona dunia au inexperienced na maisha

na ww pia umefanya generalization...


sitaki kuoa mchaga kwa sababu hawapendi kugegedana....waweza kuta kwa wiki eti unapewa once.... inaweza ikasababisha nichepuke.....

halafu hujafa hujaumbika..... nani huyo mwenye experience na life?? labda aishi miaka elfu mia moja
 
Nahisi mada yako imejaa harufu ya kujifagilia tu! Utafiti Wako umeufanya kwa wanawake wangapi?
 
Jina lako peke yake utata...........ivi unajua nini unataka? wakishua ni Mchaga kwani mchaga sio mtu? wewe kabila gani?
unaelekea bwana weye umezowea vyakunyonga vyakuchinja waachie wenyewe...........
 
Chaga chaga chaga mabinti wazuri lkn mmh ni shydaaah.

Ola ww mjamaa Muongo mada yako haina ukweli mwanamke yoyote akikupenda kikweli ujue kapenda haijalishi level yake
 
Ahaa now we are talking, usifanye judgement kwasababu ya mchaga mmoja wa kutoka family ya kishuaaa

ni kweli mm nina experience na mchaga mmoja ila kila mwanaume anakuambia wachaga sio.....hata hapa jf kuna threads kibao sina sema ivo
 
ni kweli mm nina experience na mchaga mmoja ila kila mwanaume anakuambia wachaga sio.....hata hapa jf kuna threads kibao sina sema ivo

Asilimia ngapi ya WaTZ ambao ni member wa JF...mkuu chukua akili za kuambia na changanya na zako utapata jibu.
 
Nahisi mada yako imejaa harufu ya kujifagilia tu! Utafiti Wako umeufanya kwa wanawake wangapi?

ina maana mm ndio wa kwanza kusikia akisema mademu wa kichaga wako hivo?? ok sitaki kubishana.

na sio kuwa najifagilia ila kusema kweli wanawake wananiganda hadi nawakimbia........leo peke yake tu kuna mabinti watatu wanaomba out na mm, tena wanalalamika nawatenga.....

and this is the truth frm ma heart
 
Asilimia ngapi ya WaTZ ambao ni member wa JF...mkuu chukua akili za kuambia na changanya na zako utapata jibu.

sijui ni asilimia ngapi..but the truth is sio lazima tumuulize kila mwanaume kuhusu experience yao na wanawake wa kichaga........we usually do sampling...

alafu ww nahisi ni mchaga, sio??
 
Mama yangu alishaniambia niangaike lakini nisimletee mwanamke Wa kichaga au mnyakyusa.
Mkuu unachosema ni kweli ukipendwa na maskini chunguza Mara mbilimbili.
 
Mama yangu alishaniambia niangaike lakini nisimletee mwanamke Wa kichaga au mnyakyusa.
Mkuu unachosema ni kweli ukipendwa na maskini chunguza Mara mbilimbili.

unachosema ni ukweli ukweli mtupu......like yangu chukua
 
Chaga chaga chaga mabinti wazuri lkn mmh ni shydaaah.

Ola ww mjamaa Muongo mada yako haina ukweli mwanamke yoyote akikupenda kikweli ujue kapenda haijalishi level yake


......Chaga chaga chaga mabinti wazuri lkn mmh ni shydaaah.......

mkuu like yangu iyo nakupa chukua
 
There was a beautiful girl who was admired by four men. A singer, A hunter, A doctor, and A fisherman. One day she went to wash her clothes by the river. Coincidentally the four men were there. All of a sudden a crocodile bit her and dragged her into the water. The singer immediately composed a beautiful song, the crocodile raised his head above the water to listen... The hunter shot dead the crocodile and the girl floated on the water. The fisherman dived in and brought her to the shore, then the doctor treated her and she was well again. Now who deserved to marry the girl among the four???
 


Ongeza juhudi ya maisha sasa ukikamata pesa utajua zaid "unachokishangaa ukiwa umesimama wima wenzio wanakikataa wakiwa wameketi kitako"!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…