Elections 2010 Watoto wa kitanzania walemavu wafanywa kitega uchumi kenya nini kauli jk?

Hiyo ndiyo tofauti kati ya Tanzania na Kenya. Pesa kwanza Utu baadae. Namuomba yule rafiki yetu MkenyaMzalendo wa humu JF atueleze kidogo hii kama na hili ni smartness ya wakenya au ni dalili ya jamii iliyooza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…