Tyrone Kaijage
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 1,617
- 3,405
Kwa dunia ya sasa lolote linaweza kuwa japo kwa mtazamo kuwa kibonge haimaanishi ndio huna malengo au misimamo maishani. Alieandika mwanaume analeta mwanaume naona kayeyusha maana huenda huyo bonge anamanufaa zaidi ya huyo mpiga chumaSometimes unakuta huyo wa baba upinde uyo wa mama kanyooka
Sahihi sababu mwanaume ni kama simba umbile lake si hatari ila mentalityKwa dunia ya sasa lolote linaweza kuwa japo kwa mtazamo kuwa kibonge haimaanishi ndio huna malengo au misimamo maishani. Alieandika mwanaume analeta mwanaume naona kayeyusha maana huenda huyo bonge anamanufaa zaidi ya huyo mpiga chuma
Tuse anawaza kata peraMabaunsa Sina Imani nao kabisa siku hizi!na huyo Tusekelege hapo nyuma ya baunsa mbona hachangamkii fursa?
Anafeli Sana TuseTuse anawaza kata pera
... exceptions are always there! But single mom offspring's behaviors are quietly questionable.Sometimes unakuta huyo wa baba upinde uyo wa mama kanyooka
Mabaunsa Sina Imani nao kabisa siku hizi!na huyo Tusekelege hapo nyuma ya baunsa mbona hachangamkii fursa?
🤣🤣🤣anakwama sanaDada yake Tuntufye
Bora usemeee weeSometimes unakuta huyo wa baba upinde uyo wa mama kanyooka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cheusi mangala muoga jamanii. LolMabaunsa Sina Imani nao kabisa siku hizi!na huyo Tusekelege hapo nyuma ya baunsa mbona hachangamkii fursa?
Unakuta huyo baunsa ndo papai 😂Hii ni moja ya picha ya mategemeo ya ukuaji kwa watoto walio chini ya uangalizi wa baba na walio chini ya uangalizi wa Mama, sio tuu kiumbo bali,kiakili na kihisia yaani hulka jinsia kwa ujumla.
Kiasili inafanya kuamini muonekano ndio asili na tabia za jinsia ingawa uhalisia wa siku hizi ni tofauti.
View attachment 2590682
Kaniudhii🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cheusi mangala muoga jamanii. Lol