William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Kule Ilala kuna timu zaNungu, Cosmo, Juguno Mehu
Fundi unapajua Mission Quarters mwanangu, wewe hata mchuzi kwa chapati wa SAIGON haukufai maana unaenda wayy baaack. Mambo ya Uhuru Mchanganyiko kabla ya Benjamin Mkapa na ukuta ule.
Hivi kuna mtu anajua hawa mazungu waliishia wapi
ZUNGU MARVIN wa magomeni
na bwa MDOGO CHALA BOY
bila kumsahau JUME wa ilala magorofani
mara ya mwisho nilisikia kaachiwa from jela ya Angola huko Unyamwezini
mkishanijibu hayo nauliza hivi....
Je ni kweli BABU MTAMA MCHUNGU alifariki au ndio zuga tuuu?
Hii thread ni ya watoto wa mjini ambao ni members wa JF
Wakuja msihofu sana maana hatutowabagua kama Dar palikuwa ni transit lakini ukweli ni kuwa Dar ina wenyewe na wenyewe ndio sisi na tunajuana
haya nani kati yenu hajamuuzia FILIPINO pale stendi nyuma ya Steak Inn(kabla hajahamia kule relwe) CD na mambo ya electroniki?
By the way huyo FILINO mwenyewe alikuwa ni wa kuja
Duuh....
Kijana mbona wewe unauliza watu wa MASHATI tu !?
Ila huyo bwana unaye Mwita DOGO mambo yake makubwa mno ( waulize watu wanao kaa karibu ya nyumba yake pale LINDI STREET) bado anaendeleza mambo huko juu.
Babu mtama kwa ufahamu wangu yuko na hajafa bado ila hapa sio mahara yake.
MARVIN GAYE,kabla ajakuwa baharia punde ukitaka pigana naye huvua nguo zote,lazima mtu mwenye akili timamu utimue maana choo.jamaa liliingiza ma truck bongo na yote yalikuwa linked na wireless,lakini nikasikia kwa kuwa jamaa shule hakuna shuguli ikamshinda akachacha.hivi sasa sina habari zake
Hii thread ni ya watoto wa mjini ambao ni members wa JF
Wakuja msihofu sana maana hatutowabagua kama Dar palikuwa ni transit lakini ukweli ni kuwa Dar ina wenyewe na wenyewe ndio sisi na tunajuana
haya nani kati yenu hajamuuzia FILIPINO pale stendi nyuma ya Steak Inn(kabla hajahamia kule relwe) CD na mambo ya electroniki?
By the way huyo FILINO mwenyewe alikuwa ni wa kuja
la hasha,fundi mchundo meli ninayoijua mimi na niliyowahi panda ni mv victoria nikiwa enroute to the one and only sweet mamaland WEST LAKE
Kati yeni nyinyi ma MEN TO SEA wetu humu hivi kuna yoyote kati yenu alikaa bichi la Nampula?
Hivi kuna mtu anajua hawa mazungu waliishia wapi ZUNGU MARVIN wa magomeni na bwa MDOGO CHALA BOY bila kumsahau JUME wa ilala magorofani mara ya mwisho nilisikia kaachiwa from jela ya Angola huko Unyamwezini mkishanijibu hayo nauliza hivi....
Je ni kweli BABU MTAMA MCHUNGU alifariki au ndio zuga tuuu?
Hii thread ni ya watoto wa mjini ambao ni members wa JF
Wakuja msihofu sana maana hatutowabagua kama Dar palikuwa ni transit lakini ukweli ni kuwa Dar ina wenyewe na wenyewe ndio sisi na tunajuana
haya nani kati yenu hajamuuzia FILIPINO pale stendi nyuma ya Steak Inn(kabla hajahamia kule relwe) CD na mambo ya electroniki?
By the way huyo FILINO mwenyewe alikuwa ni wa kuja
Dar ina wenyewe??????? na wenyewe ndio ninyi waswahili????Dhubutu!!!!!!!!!!!!!!! wanaojiita wenye dar woooote walishahamishiwa mbali zaidi ya gezaulole.. Wamekuja hao mnaowaita wakuja wakafanya kazi... (wenyeji mmekaa vibarazani mnaambizana "wa kuja hao yakhe" ) wakapata pata hela...(wenyeji mmekaa vibarazani mnaambizana "wa kuja hao yakhe" )... mkawauzia nyumba zenu za fito wakaangusha ma-bangalow.... na nyie haooooooooo mmekimblia kuishi maporini kama kima... waswahili wacheni uswahili... fanyani kazi....