macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Ignorant threads getting ignorant posts, what irony.
Although the post is disgustingly divisive, careful observers will not be wasted on the intriguing poetic justice, if that is any consolation.
and ignorant posts gettting ignorant comments, from ignorant slave africans who think writing/speaking complicated english is civilization....what irony!!!
The irony of ironies is that your post pounding on English worshipping African slaves is written in... guess what.... English!
I guess we are in the same boat, or rather "slave ship".
Najua ni sehemu ya siasa lakini Mods we need something for a change at least for a weekend then mnaweza kuihamisha jumapili ikisha
Haya watoto wa mjini hebu tuambieni kuna sehemu inachai nzuri kama K-TEA SHOP?
Najua kuna watu na wake zao wana ugomvi kila kukicha kisa hawanywi chai home
Kama wamjini wa mjini, wa kuja wa kuja, hata baba wa mjini wa mjini, wa kuja wa kuja.
It is a fact that if you want to embrace, embrace it wholly, if you want to dismiss, dismiss it wholly.
Kwa hiyo ukibeza wa kuja kama baba yako wa kuja unambeza.
Wasiojua kula chapati kwa mchuzi kama kaka Ditto pale Saigon big up vile vile, waliokuja mjini watu wazima na kutuendeshea serikali kama kina Nyerer na Malecela big up.Walioonyesha umakini kuliko hata hao watoto wa mjini wenyewe big up.
Kuonesha busara ni kipimo cha busara aliyonayo mtu
Lakini pamoja na umjini wote huu siwezi kudiss wakuja kwa sababu ni ndugu zangu na bila wao mimi nisingekuwepo hapa.
Kama alivyosema Pac
What can I say, I wouldn't be here today
If it wasn't for the old school...
Kwa hiyo washua waliosoma Alliance na Tabora Boys huko wakitokea madongo kuinama big up.Wasiojua kula chapati kwa mchuzi kama kaka Ditto pale Saigon big up vile vile, waliokuja mjini watu wazima na kutuendeshea serikali kama kina Nyerere na Malecela big up.Walioonyesha umakini kuliko hata hao watoto wa mjini wenyewe big up.
Kwani Dar kuna mwenyewe?????
Wauliza Tende BAGDADI?
Mhhh......GT,
Muulize anamjua Jumbe Tambaza na habari ya jinsi alivyomvundika mkatoliki Julius Nyerere pale grounds za msikiti wa UN na Mindu?