Kina Riz na miraji wamekuta hela ukubwani enzi za mwalimu viongozi wa serikali walikua hawana hela kivile,sasa hao ni ulimbukeni tu wa kina riz1,hv miraji ashaacha bangeee?
Si rahisi kuacha...
Ila...ana tabia ya udokozi.. Aliwahi kuchukua nyumbani kwao zaidi ya 300M (source:humuhumu JF) na kuchukua rafiki yake mmoja au wawili..wakaenda kula bata abroad,sikumbuki wapi,ila si Europe,wala States..
Nimependa mtindo wa maisha ya watoto wa huyu Mzee.
Hawana tabia ya kuji show off mbele ya jamii pamoja
na ukweli kwamba dingi ana chenji ya kutosha ya kuwafanya
waweze kuwapelekesha puta watu wengine kama wanavyofanya kina
Miraji na Ridhiwani-kumbuka UVCCM na kampeni za Uchaguzi mkuu 2010,,
mtoto wa Warioba aliyetishiaga watu kwa bastola, mtoto
wa kigogo aliyeua mtu kwa mwendo kasi mtaani nk.
Regina, Late Rodney na wengine bravo kwa sana.
Note: Nimeongelea PR ya wahusika mbele ya jamii na sio maisha binafsi
maana kuna wengine humu hatua moja mbele!
afu hapo hapo lazima angechomkea na maneno haya ili kuwa spin vizuri..Mwaka 2000 wakati natoka New york nilipanda ndege moja na mtoto wa mengi akiambatana na baba yake Mzee Mengi.Mimi nilikuwa pembeni dirishani first class na mze mengi na mtotom wake walikuwa kati kati.
Nili enjoy sana kusafiri nao.....mengi alionekana kukubali kazi yangu ya uandishi wa habari akaniambia niende ITV kwa pesa yoyote nitakayotaka....nikakataa nikamwambia mimi pesa sio kitu kwangu.
Nimetoa muhtasari kidogo kuonyesha jinsi nilivyo karibu na familia ya Mengi....mara nyingi huwa nakunywa drinks nao kwenye private party pale mikocheni....na hata sasa hivi Mengi ananipigia simu....Be right back napokea simu yake
-Hata mimi niliwahi kutibiwa Applolo
-Mwakyembe ni mwalimu wangu
-Huwa nakunywa drinks na waheshimiswa wakubwa kama mwakyembe
-Huwa najichanganya na wabunge Dodoma na kunywa nao chai
-Najuna ana wakuu wa nchi na mata nyingi huwa nawatolea maelezo hapa JF....kama majuzi niliongea kwa kireeefu na mhe Pinda akasema huwa anapita pita JF....
hahahahahahahahahahah ubarikiwe aisee...nimecheka bila kutarajia!Pasco ange comment hivi...
Mwaka 2000 wakati natoka New york nilipanda ndege moja na mtoto wa mengi akiambatana na baba yake Mzee Mengi.Mimi nilikuwa pembeni dirishani first class na mze mengi na mtotom wake walikuwa kati kati.
Nili enjoy sana kusafiri nao.....mengin alionekana kukubali kazi yangu ya uandishi wa habari akaniambia niende ITV kwa pesa yoyote nitakayotaka....nikakataa nikamwambia mimi pesa sio kitu kwangu.
Nimetoa muhtasari kidogo kuonyesha jinsi nilivyo karibu na familia ya Mengi....mara nyingi huwa nakunywa drinks nao kwenye private party pale mikocheni....na hata sasa hivi Mengi ananipigia simu....Be right back napokea simu yake
Pasco ange comment hivi...
afu hapo hapo lazima angechomkea na maneno haya ili kuwa spin vizuri..
Huyo ndio Pasco wa JF bana....yeye anajua kila kitu..alafu huwa anasahau alichokiandika......hahahahahahahahahahah ubarikiwe aisee...nimecheka bila kutarajia!
Si rahisi kuacha...
Ila...ana tabia ya udokozi.. Aliwahi kuchukua nyumbani kwao zaidi ya 300M (source:humuhumu JF) na kuchukua rafiki yake mmoja au wawili..wakaenda kula bata abroad,sikumbuki wapi,ila si Europe,wala States..