Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Msanii maarufu na mwenye pesa zake ameweka post yake kuonesha watoto wake wote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sean Combs huyu mwamba huwa namkubaligi sana tangu enzi anajiita Puffy Daddy, P.Diddy, DiddyMsanii maarufu na mwenye pesa zake ameweka post yake kuonesha watoto wake wote.View attachment 2552834
Pamoja mkuu,tangu anamiliki badboy rec label huku akimfuga rapper bora dunia B.I.G NOTORIOUS...Sean Combs huyu mwamba huwa namkubaligi sana tangu enzi anajiita Puffy Daddy, P.Diddy, Diddy
Umkubali vip wakati kipindi hicho alikua chawa wa bigSean Combs huyu mwamba huwa namkubaligi sana tangu enzi anajiita Puffy Daddy, P.Diddy, Diddy
KP aliporest ndio alijua umuhimu,Diddy ni Rais wa wakataa ndoa, Kasie alivumilia akijua ataolewa mwisho akatoka nduki.
Alisambaza upendoMsanii maarufu na mwenye pesa zake ameweka post yake kuonesha watoto wake wote.View attachment 2552834
Sasa angempa we ungenufaika vipi kwenye hiyo mimba?Naona anazeeka ss, kitu ambacho namlaumu ni kutomtia mimba j.lo
Cassie yupi,yule mwimbaji wa wimbo wa Long Way To Go?Diddy ni Rais wa wakataa ndoa, Kasie alivumilia akijua ataolewa mwisho akatoka nduki.
Family tamu sana...Msanii maarufu na mwenye pesa zake ameweka post yake kuonesha watoto wake wote.View attachment 2552834
We bwege nn, halafu me sijana me baba ako, alahSasa angempa we ungenufaika vipi kwenye hiyo mimba?
Yaani unalaumu maisha ya watu ambao hata huwajui? Tafuta hela kijana.
Bint kiziwi miss uDiddy ni Rais wa wakataa ndoa, Kasie alivumilia akijua ataolewa mwisho akatoka nduki.
Hawa wote mama yao ni mmoja ama kila mtoto na mama yake?Msanii maarufu na mwenye pesa zake ameweka post yake kuonesha watoto wake wote.View attachment 2552834
Baba yangu hawezi kulaumu eti kwanini P Diddy hajampa mimba J Lo, huko ni kukosa kazi kama sio utoto.We bwege nn, halafu me sijana me baba ako, alah