Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Wanazingua hawa, hii ilitokea jana na kuripotiwa kupitia ukurasa wa Boniface Jacob (Boniyai).
---
Ustaarabu siyo tabia ya CCM
Hawa ni Watoto wa shule Wamekutwa wanaandikishwa katika daftari kinyume cha sheria, kituo cha EMET mtaa wa Luguruni, kata ya Kwembe Jimbo la Kibamba leo tarehe 11/10/2024.
Hii ni dalili ya hujuma katika uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 na chanzo cha vurugu.
Pia soma:
LGE2024 - Video: Waandikishaji wapiga kura Uchaguzi Serikali za Mitaa waanza kuandikisha kabla ya muda wala uwepo wa mawakala
---
Ustaarabu siyo tabia ya CCM
Hawa ni Watoto wa shule Wamekutwa wanaandikishwa katika daftari kinyume cha sheria, kituo cha EMET mtaa wa Luguruni, kata ya Kwembe Jimbo la Kibamba leo tarehe 11/10/2024.
Hii ni dalili ya hujuma katika uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 na chanzo cha vurugu.
Pia soma:
LGE2024 - Video: Waandikishaji wapiga kura Uchaguzi Serikali za Mitaa waanza kuandikisha kabla ya muda wala uwepo wa mawakala