peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
- Thread starter
-
- #21
Ukumbuke kuendelea kuvaa sare kila kukicha ili kipindi hicho kikifikia wakukumbuke ila anza na ubalozi wa nyumba kumi kumiMkuu Tate Mkuu, asante kwa kunikaribisha, mimi ni kada mzalendo!, 2025 sio mbali, na hata 2027 pia sio mbali kivile!.e
P
Mkuu Tate Mkuu, asante kwa kunikaribisha, mimi ni kada mzalendo!, 2025 sio mbali, na hata 2027 pia sio mbali kivile!.
P
Hao watabakia huko huko kwenye vyama vyao vya kikoo. Natamani hiyo TNP iundwe na wale Watanzania wazalendo pekee!Vp watoto wa vibopa ruksa kujoin
Ova
Tafuta uso wa Mungu mkuu. Hayo mepesi sana ukifanikiwa hata kawe ukiitaka utaipataMkuu Tate Mkuu, asante kwa kunikaribisha, mimi ni kada mzalendo!, 2025 sio mbali, na hata 2027 pia sio mbali kivile!.
P
Hiyo milioni moja anajuta bora angeinywa konyagi na chenji ya supu ikabaki....Ndugu Pascal Mayalla unaona wenye nafasi zao? Wewe si uliambiwa ukajiajiri? Kulikoni kusahau sahau?
Poti alishauriwa vibaya.Ndugu Pascal Mayalla unaona wenye nafasi zao? Wewe si uliambiwa ukajiajiri? Kulikoni kusahau sahau?
Pascal ni mbishi ila amebaki na deni la saccos alikochukua 1,000,000 ya kulipia fomu.Poti alishauriwa vibaya.
Hahahaha hahaaaaaaaaaaaa...... haha haaaaaaa hahahaha.Pascal ni mbishi ila amebaki na deni la saccos alikochukua 1,000,000 ya kulipia fomu.
Wamempuna million moja chap.Ndugu Pascal Mayalla unaona wenye nafasi zao? Wewe si uliambiwa ukajiajiri? Kulikoni kusahau sahau?
Kwa bahati mbaya alimsaliti na kumuanika mmoja wa waliokuwa wakiwafanyia usahili wa hapo awali na hivyo jina lake liliondolewa mapema sana. Anakiri kwa kinywa chake kwamba "karma is a bitch".Ndugu Pascal Mayalla unaona wenye nafasi zao? Wewe si uliambiwa ukajiajiri? Kulikoni kusahau sahau?