Mwaka jana baada ya matokeo ya 2011 ya kidato cha nne kutokamitandao ya kijamii na vyombo vya habari vilijawa na kejeli kwa binti wa mkuuwa kaya Mwanaasha, binti wa Magufuri na wengineo simply tu kwa kuwa matokeoyalionesha majina ya watahiniwa, , kwa hisia zangu yawezekana necta walipigwa kamkwara kuwa next time watumienamba za watahiniwa, ukweli ni kuwa kwa kipindi hiki pamoja na kuwa matokeo ni mabaya sana kwa wote lakini kama nectarwangetoa majina vigogo wangeumbuka tena. Yuko jamaa yangu wa karibu kanambiakuna kigogo mmoja mwandamizi wa sirikali yetu ana watoto wake wawili walambadiv zero.