Kama ni wa chuo taja jina na chuo alichosom.
Kama ni sec tuone ni shule gani mtoto huyo alisoma.
Viongozi wote kuanzia
Rais,
mawazili,
wabunge na
MKUU WA MAJESHI(CDF)
Majibu ndio yatasaidia kujua michango ya shule hiziz za kata.
===
Jesca Magufuli-UDOM
Mwanaasha Kikwete-Feza girls