Watoto wadogo na usingizi

Watoto wadogo na usingizi

malimingiii

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2013
Posts
967
Reaction score
1,335
Hellow wanaJF!
Natumaini mmeamka salama na mnaendelea na majukumu kama kawaida.
Ni muda sasa nimekua nikifuatilia hili bila kufahamu, naomba mwenye kujua anijuze. Watoto wadogo kila wanapotaka kulala huwa wanasumbua sana, wanaweza kulia mpaka ukahisi anatatizo kumbe ni usingizi.
Swali linakuja, kwa nn hawawezi kulala bila kuleta usumbufu. Kuna mahusiano gani kati ya ile hali ya usingizi na kulia lia au kuhangaika kunakotokea?
 
Ni human nature mkuu na huwezi kupata majibu maana hakuna anayejua mtoto mdogo huwa anafikiria nini
 
Na mimi ile hali huwa inanishangaza sana na kingine ni ile hali wakiamuka pia uchukia sana ile hali ya kulala husasani muda wa day time.
 
Back
Top Bottom