Kama ww mkoani hii haikuhusu kabisa tena kaa mbali sana.
Jamani muliosoma zile shule za serikali zilizokua noma wakati huo hapa Dar kuanzia Forodhani,Azania,Jangwani,Kibasila na Zanaki....tukumbushane watoto wa kikr wakali waliotikisa shuleni..
Pale Forodhani Sec School kulikua na watoto hawa hatari kabisa..
1.Munira ama Munny - Huyu ndie aliengiza vocals kwenye nyimbo ya zali la mentali yaani huyu mtoto alikua balaa she was very cute alikua na chura ya maana shombe shombe flani
2. Mgole
3. Farhat Seif
4. Tuma
Daah sijui wako wapi hawa watoto...miss those dem days
Jamani muliosoma zile shule za serikali zilizokua noma wakati huo hapa Dar kuanzia Forodhani,Azania,Jangwani,Kibasila na Zanaki....tukumbushane watoto wa kikr wakali waliotikisa shuleni..
Pale Forodhani Sec School kulikua na watoto hawa hatari kabisa..
1.Munira ama Munny - Huyu ndie aliengiza vocals kwenye nyimbo ya zali la mentali yaani huyu mtoto alikua balaa she was very cute alikua na chura ya maana shombe shombe flani
2. Mgole
3. Farhat Seif
4. Tuma
Daah sijui wako wapi hawa watoto...miss those dem days