Dingswayo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 4,019
- 2,925
Nimeona kwenye taarifa ya habari ya habari ya saa 2 ITV kuwa watoto wengi waliletwa kuanzia asubuhi saa 11 ili kujaza viti. TV imeonyesha watoto wakiwa wamelala na fujo kuzuka baada ya watu kuhoji jambo hilo. Ilibidi polisi waingilie.
Imezidi kuelezwa kuwa watoto hao walikuwa wakipiga kelele na kuzomea sana pale watu walipokuwa wakitoa maoni yao dhidi ya mswada huo.
Inaelekea kuwa kuna watu ambao wako tayari kufanya lolote ili mswada huo upite kama ulivyo bila kupingwa.
Tutafika kweli?
Imezidi kuelezwa kuwa watoto hao walikuwa wakipiga kelele na kuzomea sana pale watu walipokuwa wakitoa maoni yao dhidi ya mswada huo.
Inaelekea kuwa kuna watu ambao wako tayari kufanya lolote ili mswada huo upite kama ulivyo bila kupingwa.
Tutafika kweli?