Kweli CCM mishipa yao ya aibu imeshaoza haifanyi kazi kabisa, yaani watu wazima wanatoa mawazo ambayo ukiyasikia unabaki kushangaa tu, eti ndio viongozi wetu, yaani tunataka kuunda katiba mpya, halafu huyo aliyesababisha tutake kuunda katiba mpya (kwa kuchakachua kwake) eti ndio atupangie hizo hadidu za rejea, hii ni akili au matope, sasa kuna sababu gani ya kujadili kitu ambacho matokeo yake tunayajua. Rais ambaye wote tumeuona uwezo wake wa kufikiri ndio atupangie nini cha kuweka kwenye katiba.
Shauri yenu CCM Gbagbo mwenzenu siku hizi anaishi shimoni kama nyoka, au hamsikilizi habari.
'A FOOL LEARNS FROM HIS OWN MISTAKES, A WISE MAN LEARNS FROM OTHER PEOPLES MISTAKES'
Baadaye, nakwenda kwa wakubwa. politiki siwezi.