Lekanjobe Kubinika
JF-Expert Member
- Dec 6, 2006
- 3,019
- 579
Nimeipata kutoka rafiki yangu. Kuna cha kujifunza hapo unapokuwa na watoto usijisahau sana kama vile uko honey moon. Watoto hawadanganyiki!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anajaribu kueleza kuwa kama wewe una mpenzi/mume/mke usijisahau kujinafasi na huyo mpenzi/mkeo/mumeo wako mbele ya watoto mpaka ukapitiliza!
Namuunga mkono!
Anajaribu kueleza kuwa kama wewe una mpenzi/mume/mke usijisahau kujinafasi na huyo mpenzi/mkeo/mumeo wako mbele ya watoto mpaka ukapitiliza!
Namuunga mkono!
Yeah! Very true...
Hata hizi filamu zetu jamani... Tuwe makini sana, watoto wadogo wana "curious minds" sana...
You can BET ; nishawahi kumfuma jr ana smile alipoona tongue kissing kwenye movie nikapiga marufuku! Shida ni hapo tunapowaacha na wasaidizi huko nyumbani!
.aaah jamani mie staki kusikia wasaidizi mnyalu!!!!