Watoto wanaozliwa upasuaji na njia ya kawaida.

valet de chambre

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2017
Posts
1,044
Reaction score
1,112
Wakuu umofia kwenu. Hii salamu ni ya kiafrika . Nauliza wataalamu wa udaktari kuna tofauti yoyote ya mtoto anayezaliwa Kwa upasuaji NA aliyezaliwa kwa njia ya kawaida?
 
Utofauti upo kwenye vichwa na akili zao
 
Utofauti upo kwenye vichwa na akili zao. Watoto wengi wanaojaza seva za jf humu ndani wamezaliwa kwa njia ya kawaida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…