Watoto Wataalamu Wa Kuunda App Nchini Kenya

Iconoclastes

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2014
Posts
4,091
Reaction score
2,511



19 Mei 2017
Wanafunzi wenye umri kati ya miaka 7-16 kutoka shule mbalimbali jijini Nairobi wamekuwa wakipokea masomo spesheli ya kiteknolojia, ya kuunda programu tumishi.

Kijana wa miaka 11 aliyepokea mafunzo katika shule hiyo ya Appframe Coding Academy ameweza kubuni programu tumishi (App) ya mapishi ambayo inapatikana mitandaoni, huku wengine wakiendelea kutengeneza App tofauti kama vile za michezo, wanyama na mbio za magari.

Mwandishi wa BBC Paula Odek

Watoto wataalamu wa kuunda App nchini Kenya - BBC Swahili
 
Sisi ni Tanzania ya viwanda vikubwa vikubwa hivyo vitu vya kitoto hatuna haja navyo![emoji1][emoji1]
 
Hata sisi tunaye mtoto wa kitanzania anayetengeneza application za simu na kuwauzia Nokia!

Kutana na Mtoto wa kitanzania anayetengeneza Application za simu na kuwauzi Nokia. - NYUMBA YA HABARI


Hii ni fursa nzuri kwa watoto wetu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…