Watoto wenye kisukari

wash755

Member
Joined
Feb 9, 2014
Posts
28
Reaction score
15
Nimetembelea hospitali nyingi kama muhimbili na mwananyamala kwenye vitengo vya kisukari na nimeona watoto wengi jinsi walivyoathirika na kisukari inasikitisha sana hasa nikiwa najua naweza kuwasaidia.

Hivyo mwenye mtoto mwenye kisukari awasiliane na mimi na nitamsaidia dawa bure kabisa email washingtonramadhan@yahoo.com au mobile 0788 471 373
 
Kaka hongera sana kwa moyo wa kujitolea. Tungekuwa na rais/kiongozi kama wewe hii nchi ingekuwa juu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…