Watu 1002 wafariki kwa Ugonjwa wa Kipindupindu Nchini Malawi

Watu 1002 wafariki kwa Ugonjwa wa Kipindupindu Nchini Malawi

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Wizara ya Afya ya #Malawi imesema wanakabiliwa na uhaba wa chanjo na kuwa idadi ya watu kwa jumla walioambukizwa Kipindupindu tangu Mwaka 2022 mpaka Januari 24, 2023 ni 30,600.

Novemba 2022 Nchi hiyo ilipokea dozi milioni tatu za chanjo ya Kipindupindu kutoka Umoja wa Mataifa (UN) lakini idadi ya wagonjwa inaendelea kuongezeka.

Aidha, Shirika la Afya Duniani (#WHO) limebainika kuwa idadi ya watu waliofariki kwa ugonjwa huo wakati huu imezidi takwimu za mlipuko ulioua watu 968 Mwaka 2001 hadi 2002 Nchini hapo.

=============

Malawi cholera death toll passes 1,000

A cholera outbreak in Malawi has killed more than 1,000 people, the Health Ministry said on Tuesday as the country ran out of vaccines.

The southern African nation has been battling its worst cholera outbreak on record, with more than 30,600 people infected since the first cases were reported last year.

In November, it received almost three million doses of oral cholera vaccine from the United Nations to step up its immunisation campaign but case numbers continue to rise.

"We have used all the vaccines we had," Health Ministry spokesman Adrian Chikumbe told AFP.

"The fact that there is only one cholera vaccine manufacturer worldwide makes it difficult to acquire the life-saving drug," said Chikumbe. "We are competing for the same vaccine with everyone else".

The death toll reached 1,002 on Tuesday, breaching a grim milestone and the previously recorded largest outbreak, which killed 968 people between 2001 and 2002, according to the World Health Organization (WHO).

Cholera, which causes diarrhoea and vomiting, is contracted from a bacterium that is generally transmitted through contaminated food or water.

"What we need is high compliance to hygiene and sanitation," said Chikumbe.

George Jobe, director of the non-profit Malawi Health Equity Network, blamed myths and misinformation spreading online for the dire situation.

"Most people don't believe we have cholera," he told AFP.

Critics say the outbreak caught authorities off-guard when it hit almost 12 months ago.

Preventive health services chief Storm Kabuluzi said the government and aid groups were working to provide safe water and hand washing facilities. But he blamed some social sections for fuelling the disease's spread.

"We have some religions that do not permit their members to go to the hospital," when ill, he said.

In September, the WHO warned that after years of decline, the planet was witnessing a "worrying upsurge" in cholera outbreaks, with climate change adding to traditional triggers such as poverty and conflict.

Worldwide, the disease affects between 1.3 million and four million people each year, causing up to 143,000 deaths.

Source: Medicalxpress
 
Mzee wa msoga na mzee makamba wameua sana watanzania kwa huu ugonjwa...ila wapumbavu awajui kuwa JPM ndiyo kaokoa maisha wa watanzania kwa uongozi wake bora na makini.

Utasikia eti jpm sijui watu walikufa kwenye viloba sijui nini, ukiwauliza ni wangapi waliokufa kwenye viloba hawafiki hata 100 ila kipindupindu cha kikwete na makamba hapa tu dar es salaam kilikuwa kinaua watu zaidi ya 2000 kwa mwaka
 
Mzee wa msoga na mzee makamba wameua sana watanzania kwa huu ugonjwa...ila wapumbavu awajui kuwa JPM ndiyo kaokoa maisha wa watanzania kwa uongozi wake bora na makini.

Utasikia eti jpm sijui watu walikufa kwenye viloba sijui nini, ukiwauliza ni wangapi waliokufa kwenye viloba hawafiki hata 100 ila kipindupindu cha kikwete na makamba hapa tu dar es salaam kilikuwa kinaua watu zaidi ya 2000 kwa mwaka
Punguza uchawa.
 
Kipindupindu kinaletwa vipi na kikwete na makamba?
Unajua kwanini jpm alipo pata tu urais akwenda kununua suti na dhahabu bali alikwenda kusafisha uchafu mitaani ....ulishawai kumwona mwinyi akifanya usafi mitaani au kikwete ..unajua kile kitendo kilikuwa na maana gani ? Au umesahau namna dar es salaam ilivyo kuwa chafu mitaani mijini na masokoni kabla ya jpm ...huu uzoaji wa taka unao huona sasa unadhani ulikuwepo kabla ya jpm ...kwanini kipindupindu kilikoma tu baada ya jpm kuwa ikulu.
 
Wizara ya Afya ya #Malawi imesema wanakabiliwa na uhaba wa chanjo na kuwa idadi ya watu kwa jumla walioambukizwa Kipindupindu tangu Mwaka 2022 mpaka Januari 24, 2023 ni 30,600.

Novemba 2022 Nchi hiyo ilipokea dozi milioni tatu za chanjo ya Kipindupindu kutoka Umoja wa Mataifa (UN) lakini idadi ya wagonjwa inaendelea kuongezeka.

Aidha, Shirika la Afya Duniani (#WHO) limebainika kuwa idadi ya watu waliofariki kwa ugonjwa huo wakati huu imezidi takwimu za mlipuko ulioua watu 968 Mwaka 2001 hadi 2002 Nchini hapo.

=============

Malawi cholera death toll passes 1,000

A cholera outbreak in Malawi has killed more than 1,000 people, the Health Ministry said on Tuesday as the country ran out of vaccines.

The southern African nation has been battling its worst cholera outbreak on record, with more than 30,600 people infected since the first cases were reported last year.

In November, it received almost three million doses of oral cholera vaccine from the United Nations to step up its immunisation campaign but case numbers continue to rise.

"We have used all the vaccines we had," Health Ministry spokesman Adrian Chikumbe told AFP.

"The fact that there is only one cholera vaccine manufacturer worldwide makes it difficult to acquire the life-saving drug," said Chikumbe. "We are competing for the same vaccine with everyone else".

The death toll reached 1,002 on Tuesday, breaching a grim milestone and the previously recorded largest outbreak, which killed 968 people between 2001 and 2002, according to the World Health Organization (WHO).

Cholera, which causes diarrhoea and vomiting, is contracted from a bacterium that is generally transmitted through contaminated food or water.

"What we need is high compliance to hygiene and sanitation," said Chikumbe.

George Jobe, director of the non-profit Malawi Health Equity Network, blamed myths and misinformation spreading online for the dire situation.

"Most people don't believe we have cholera," he told AFP.

Critics say the outbreak caught authorities off-guard when it hit almost 12 months ago.

Preventive health services chief Storm Kabuluzi said the government and aid groups were working to provide safe water and hand washing facilities. But he blamed some social sections for fuelling the disease's spread.

"We have some religions that do not permit their members to go to the hospital," when ill, he said.

In September, the WHO warned that after years of decline, the planet was witnessing a "worrying upsurge" in cholera outbreaks, with climate change adding to traditional triggers such as poverty and conflict.

Worldwide, the disease affects between 1.3 million and four million people each year, causing up to 143,000 deaths.

Source: Medicalxpress
Tangu Polepole atuwakilishe kama Balozi Malawi kipindipindu kinaua wengi sana.

Arudishwe nyumbani
 
Back
Top Bottom