Watu 13 wakamatwa wakijifanya viongozi wa Freemason na kufanya utapeli

Watu 13 wakamatwa wakijifanya viongozi wa Freemason na kufanya utapeli

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Jeshi la Polisi mkoani Rukwa kwa kushirikina na Mamlaka ya Mawasilino Tanzania TCRA limeanzisha operesheni ya kuwabaini watu wanaojihusisha na utapeli kwa njia ya mtandao na kufanikiwa kuwakamata vijana 13 wenye umri kati ya miaka 17 hadi 32 kwa tuhuma za kuwatapeli wananchi kwa kuandika ujumbe mfupi “tuma kwenye namba hii’’ ikiwa ni pamoja na kujifanya viongozi wa freemason na waganga wa kienyeji.

 
Back
Top Bottom