Watu 14 waaga dunia kwenye ajali iliyohusisha basi la Chuo Kikuu cha Pwani

Watu 14 waaga dunia kwenye ajali iliyohusisha basi la Chuo Kikuu cha Pwani

Kenyan

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2012
Posts
414
Reaction score
314
Watu 14 wamethibitishwa kuaga dunia baada ya basi la Chuo Kikuu cha Pwani kugongana na matatu(daladala) eneo la Kayole, barabara ya Nakuru - Naivasha.

Kwa mujibu wa ripoti basi hilo lilikuwa limebeba wanafunzi wapatao 30 kwenda kushiriki michezo katika kaunti ya Nakuru.

Wanahabari wangali wanasubiri taarifa kamili kutoka kwa Kamanda wa polisi, kaunti ya Nakuru.

20230330_142435.jpg
 
Wapumzike kwa amani waliohusika...mwanga wa milele uwaangazie huko waendako
 
Back
Top Bottom