Watu 345 waugua ugonjwa wa kipindupindu jijini Mbeya

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Odas Aron ni mratibu wa elimu ya Afya jijini Mbeya anasema Mpaka kufikia sasa watu 345 wameugua ugonjwa huo katika halmashauri ya jiji la Mbeya huku wakiendelea kupata matibabu kwenye kambi maalumu zilizotengwa.

Your browser is not able to display this video.
 
Nilikaa siku 4 kwenye moja ya hoteli hapo za hadhi ya juu kabisa lakini nilipata food poisoning isiyomithirika...nadhani jitihada za usafi zinapaswa kuongezwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…