Tengosmileog
New Member
- Jul 15, 2021
- 1
- 0
Watu watano wamepoteza maisha mkoanii Ruvuma kwa muda wa siku 7 likiwemo la mwanafunzi a kidato cha kwanza Sekondari ya Mbinga wilayani na mtumbo la kucharazwa viboko hadi kufa. Kamanda wa Polisi Ruvuma Bw Joseph Konyo anawashikilia walimu 6 katika tukio hilo ambalo hakuwataja majina kwa ajili ya uchunguzi.
Pia kamanda Konyo amesema Mtu asiyejulikana alimgongea mzee mmoja uko kijiji cha Marungu wilayani Nyasa na kumshusha kitandani mpaka chini na kumkata na shokaa na kusababisha kifo chake.
Taarifa nyingi ni kutoka wilayani Mbinga ambako kijana mmoja ameuawa na kukatwa miguu kwa tuhuma za wizi wa kuku.
=====
Mwanafunzi afariki baada kucharazwa bakora na mwalimu Ruvuma.
Watu 5 wamefariki dunia ndani ya siku 7 katika matukio tofauti mkoani Ruvuma likiwemo la mwanafunzi wa Kidato cha Kwanza katika Shule ya sekondari Mbinga wilayani Namtumbo kufariki dunia baada ya kupigwa viboko na walimu wake.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Ruvuma Bw. Joseph Konyo amesema wanawashikilia walimu sita kutokana na kifo cha mwanafunzi huyo mwenye umri wa miaka 15 ambaye hajamtaja jina kwa sababu za uchunguzi.
Katika matukio mengine Kamanda Konyo amesema mzee wa miaka 85 mkazi wa Kijiji cha Marungu Wilayani Nyasa aligongewa mlango na alipofungua mtu asiyefahamika aliingia ndani na kumvuta chini kutoka kitandani na kumkata kwa shoka na katika tukio lingine la mauaji limetokea Wilayani Mbinga, ambapo mtu mmoja ameuawa kwa kukatwa miguu kwa tuhuma za wizi wa kuku.
Chanzo: ITV
Pia kamanda Konyo amesema Mtu asiyejulikana alimgongea mzee mmoja uko kijiji cha Marungu wilayani Nyasa na kumshusha kitandani mpaka chini na kumkata na shokaa na kusababisha kifo chake.
Taarifa nyingi ni kutoka wilayani Mbinga ambako kijana mmoja ameuawa na kukatwa miguu kwa tuhuma za wizi wa kuku.
=====
Mwanafunzi afariki baada kucharazwa bakora na mwalimu Ruvuma.
Watu 5 wamefariki dunia ndani ya siku 7 katika matukio tofauti mkoani Ruvuma likiwemo la mwanafunzi wa Kidato cha Kwanza katika Shule ya sekondari Mbinga wilayani Namtumbo kufariki dunia baada ya kupigwa viboko na walimu wake.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Ruvuma Bw. Joseph Konyo amesema wanawashikilia walimu sita kutokana na kifo cha mwanafunzi huyo mwenye umri wa miaka 15 ambaye hajamtaja jina kwa sababu za uchunguzi.
Katika matukio mengine Kamanda Konyo amesema mzee wa miaka 85 mkazi wa Kijiji cha Marungu Wilayani Nyasa aligongewa mlango na alipofungua mtu asiyefahamika aliingia ndani na kumvuta chini kutoka kitandani na kumkata kwa shoka na katika tukio lingine la mauaji limetokea Wilayani Mbinga, ambapo mtu mmoja ameuawa kwa kukatwa miguu kwa tuhuma za wizi wa kuku.
Chanzo: ITV