Watu 900,000 wameshafungiwa line zao za simu, ni wale wenye vitambulisho lakini hawakuvitumia kusajili line zao

Watu 900,000 wameshafungiwa line zao za simu, ni wale wenye vitambulisho lakini hawakuvitumia kusajili line zao

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Serikali imesema zaidi ya watu 900,000 ( laki tisa) wameshafungiwa line zao za simu baada ya kushindwa kujisajili kwa alama za vidole.

Serikali imesema zoezi la ufungaji simu limegawanywa katika makundi matatu;

Kundi la kwanza ambao tayari wameshafungiwa ni wale wenye Vitambulisho vya taifa lakini hawajavitumia kusajilia simu.

Kundi la pili ni wale waliotumia vitambulisho vyao vya taifa kusajili line za simu lakini hawajafanya usajili kwa alama za vidole

Kundi la tatu na la mwisho ni wale wasiokuwa na vitambulisho vya taifa wala namba za Nida.

Source BBC Dira ya Dunia!
 
Labda CDM wasingetoa tamko kungetolewa grace period ya nyongeza
 
Mimi bado nadunda hewani, NIDA walinitumia namba ila sijaenda kutia dole.... napanga kuwafungulia mashtaka kwa kunitishia amani na kisha kushindwa kuzima line yangu.
 
Mimi bado nadunda hewani, NIDA walinitumia namba ila sijaenda kutia dole.... napanga kuwafungulia mashtaka kwa kunitishia amani na kisha kushindwa kuzima line yangu.
Wewe uko kundi la pili, utafungiwa soon!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi mbona bado sijafungiwa. Na kitambulisho ninacho?,,hebu wafanye haraka maana nadaiwa songesha,branch na mpower

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali imesema zaidi ya watu 900,000 ( laki tisa) wameshafungiwa line zao za simu baada ya kushindwa kujisajili kwa alama za vidole.

Serikali imesema zoezi la ufungaji simu limegawanywa katika makundi matatu;

Kundi la kwanza ambao tayari wameshafungiwa ni wale wenye Vitambulisho vya taifa lakini hawajavitumia kusajilia simu.

Kundi la pili ni wale waliotumia vitambulisho vyao vya taifa kusajili line za simu lakini hawajafanya usajili kwa alama za vidole

Kundi la tatu na la mwisho ni wale wasiokuwa na vitambulisho vya taifa wala namba za Nida.

Source BBC Dira ya Dunia!
Si kweli .
 
Kisheria sio makampuni Yabayomiliki mitandao ndio yafungie laini bali najua tcra ndio wanapaswa kufungia
sasa kama wale wa hiyo hela tuma huku hawajakamatwa sijui hili ndio wataweza?
Labda makampuni yashinikizwe kufanya hivyo ila bila hivyo watu tutaendelea kudunda bila buti tu
 
Wametoa tamko gani bwashee?
Nilisikia redioni kuwa walitoa tamko siku ya Jumamosi 18.1.2020 Rais atazame upya suala la usajili wa line na kwamba wanaona kama mkokoteni umetangulizwa mbele ya punda badala ya kuwa nyuma ya punda
 
Hizo ni less active lines na nyingine hazipo hewani kabisa
. kuna ambazo simu zake liliibiwa na mhusika haku renew
. kuna ambazo ni za wageni walikuja kwa muda tu na wameshaondoka
. kuna zile za matapeli wa ile pesa itume kwenye laini hii
. kuna zile ambazo mtu mmoja anamiliki zaidi ya laini 3
. kuna zile ambazo zinatumiwa kwenye vifaa kama car track, iPads, ving'amuzi nknk.
. kuna zile ambazo wamiliki wake hawana simu tena wanatembea na laini tu

Kama tukiamua kufanya utafiti wa kweli tutagundua kuwa nyingi za laini zilizofungiwa ni hizo hapo juu na nyingine ni laini mfu zisizo na madhara kwa kampuni.. Unakuta laini
-haiwekwi vocha
-haifanyi miamala
-haitumiki mara kwa mara
Laini kama hizi zipo kwa ajili ya kuongeza number tu ya wateja lakini haina faida yoyote kwakuwa hata haipigi customer care
Serikali imesema zaidi ya watu 900,000 ( laki tisa) wameshafungiwa line zao za simu baada ya kushindwa kujisajili kwa alama za vidole.

Serikali imesema zoezi la ufungaji simu limegawanywa katika makundi matatu;

Kundi la kwanza ambao tayari wameshafungiwa ni wale wenye Vitambulisho vya taifa lakini hawajavitumia kusajilia simu.

Kundi la pili ni wale waliotumia vitambulisho vyao vya taifa kusajili line za simu lakini hawajafanya usajili kwa alama za vidole

Kundi la tatu na la mwisho ni wale wasiokuwa na vitambulisho vya taifa wala namba za Nida.

Source BBC Dira ya Dunia!

Jr[emoji769]
 
Hizo ni less active lines na nyingine hazipo hewani kabisa
. kuna ambazo simu zake liliibiwa na mhusika haku renew
. kuna ambazo ni za wageni walikuja kwa muda tu na wameshaondoka
. kuna zile za matapeli wa ile pesa itume kwenye laini hii
. kuna zile ambazo mtu mmoja anamiliki zaidi ya laini 3
. kuna zile ambazo zinatumiwa kwenye vifaa kama car track, iPads, ving'amuzi nknk.
. kuna zile ambazo wamiliki wake hawana simu tena wanatembea na laini tu

Kama tukiamua kufanya utafiti wa kweli tutagundua kuwa nyingi za laini zilizofungiwa ni hizo hapo juu na nyingine ni laini mfu zisizo na madhara kwa kampuni.. Unakuta laini
-haiwekwi vocha
-haifanyi miamala
-haitumiki mara kwa mara
Laini kama hizi zipo kwa ajili ya kuongeza number tu ya wateja lakini haina faida yoyote kwakuwa hata haipigi customer care

Jr[emoji769]
Asante kwa ufafanuzi
 
Niliongea na boss mmoja wa Vodacom nikamuuliza mbona line ambazo hazijasajiliwa kwa alama za vidole hazijafungwa? Akaniambia sisi kama Vodacom hatuwezi kufunga line ya mteja maana tunafanya biashara, hiyo kazi kufungia line ni ya tcra, hapo nikajua Hakuna kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliongea na boss mmoja wa Vodacom nikamuuliza mbona line ambazo hazijasajiliwa kwa alama za vidole hazijafungwa? Akaniambia sisi kama Vodacom hatuwezi kufunga line ya mteja maana tunafanya biashara, hiyo kazi kufungia line ni ya tcra, hapo nikajua Hakuna kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna kitu kivipi bwashee?!
 
Hizo ni less active lines na nyingine hazipo hewani kabisa
. kuna ambazo simu zake liliibiwa na mhusika haku renew
. kuna ambazo ni za wageni walikuja kwa muda tu na wameshaondoka
. kuna zile za matapeli wa ile pesa itume kwenye laini hii
. kuna zile ambazo mtu mmoja anamiliki zaidi ya laini 3
. kuna zile ambazo zinatumiwa kwenye vifaa kama car track, iPads, ving'amuzi nknk.
. kuna zile ambazo wamiliki wake hawana simu tena wanatembea na laini tu

Kama tukiamua kufanya utafiti wa kweli tutagundua kuwa nyingi za laini zilizofungiwa ni hizo hapo juu na nyingine ni laini mfu zisizo na madhara kwa kampuni.. Unakuta laini
-haiwekwi vocha
-haifanyi miamala
-haitumiki mara kwa mara
Laini kama hizi zipo kwa ajili ya kuongeza number tu ya wateja lakini haina faida yoyote kwakuwa hata haipigi customer care

Jr[emoji769]
Duh......wapare wabishi sana!
 
Back
Top Bottom