Mh Makonda ndio nani wewe dada chocochanel?
yule muuza majeneza uliemtosa hukumtendea haki
Naapa hii ndo namba 1.5. Mkulu
Huyu dada sijuwi kwann anakuaga wapi mida hii?Ila wewe dada haki ya nani kila siku nida hii ndio unakuwa JF online wewe ni mlinzi nin dada yangu au mitaa yako ni sinza mida hii daah sikuwezi kwa kukesha coco.....
yule muuza majeneza uliemtosa hukumtendea haki
Team Bashite VYETI FEKI upo.kumbe naona unatetea bado wavunja sheria kama Kumiliki magari ya wauza madawa kwa kusingiziwa dahMh. Makonda
Na
Mh. Magufuli
Oyeeeeeeee
Viongozi jembe na wanaopendwa sana na wananchi wengiiiii, yaani haijawahi kutokea.
naomba nafasi basiHaki unaijua wewe?