DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Hili jambo huwa linasababishwa na MTU kukosa vitu viwili
@ Sympathetic
@ Empathetic
MTU akikosa huruma ataiba ,atadhurumu n.k
Na MTU akikosa kuhisi hisia za MTU mwingine na Ku-feel Kama anavyo-feel au kuvaa viatu cya mwingine basi ataua, atatesa na kuangamiza.
Hivyo majambazi , wote , makatili wazee wa kudhulumu n.k wamekosa hivyo vitu viwili.
@ Empathetic
@ Sympathetic
Na mwisho wakishatekeleza huo ubaya wao, huwa wanakimbia kwa kuhofia na wao wasijekufanyiwa kama walichofanya.
@ Sympathetic
@ Empathetic
MTU akikosa huruma ataiba ,atadhurumu n.k
Na MTU akikosa kuhisi hisia za MTU mwingine na Ku-feel Kama anavyo-feel au kuvaa viatu cya mwingine basi ataua, atatesa na kuangamiza.
Hivyo majambazi , wote , makatili wazee wa kudhulumu n.k wamekosa hivyo vitu viwili.
@ Empathetic
@ Sympathetic
Na mwisho wakishatekeleza huo ubaya wao, huwa wanakimbia kwa kuhofia na wao wasijekufanyiwa kama walichofanya.