First Born
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 5,312
- 1,475
Mpaka rangi,
Mzaire wa saluni,
taxi driver,
muuza genge,
muuza chips,
mwalimu wa mazoezi
yaani hawa jamaa ni noma kidogo kidogo unaweza ukakuta anammega umpendaye. Hawa wana mivuto sana kwa mabinti.
aaaaaaaaah jamani ina maana hao wake/girlfriends zenu ndo mmewashusha hivi? kwamba hawana uaminifu kiasi hiki mmmmmh
Mpaka rangi,
Mzaire wa saluni,
taxi driver,
muuza genge,
muuza chips,
mwalimu wa mazoezi
yaani hawa jamaa ni noma kidogo kidogo unaweza ukakuta anammega umpendaye. Hawa wana mivuto sana kwa mabinti.
halafu wasambaa wote kwani tanga kuna chuo cha kuosha na kupaka wanawake rangi?
ha ha....siwezi kucheka mie....ngoja niende zangu gym nikapunguze mwilisome truth!<br />
Na akiwa HSB, ndo imekula upande!
Haya mambo ni mazito sana,hasa kwa mabinti wanao penda vya bure,ukipita pale mwenge siku kama ya kesho hivi dahaaaa utachoka,utakuta mtoto wa kike ameinuliwa mguu juu alafu kavaa sketi au gauni,pata picha yake,inakuaje hicho kitu mapaka rangi full kumsugua,mwisho wa kazi bint anakwambia amepungukiwa,mapaka rangi anakubali siku ya kwanza,ya pili,siku ya tatu ................................
<br />mahouse boy wenyewe hawafai.
ha ha....siwezi kucheka mie....ngoja niende zangu gym nikapunguze mwili
<br />
<br />
hawa wabaya sana hawa, ni nyoka mwenye miguu huyu.
Kuna jamaa yangu mmoja alimbamba houseboy akijisifia kwa maza house eti dudu yake ina matawi ndio maana housegal wa jirani kamganda.
halafu wasambaa wote kwani tanga kuna chuo cha kuosha na kupaka wanawake rangi?
Halafu siku ya kumegwa mnyamwezi aamini kama kweli anammega mtoto.......Anamegwa...!!
Dah! mi hizi habari za kumegewa nikisikia mwili wote unakufa ganzi...na hawa madereva bajaji ndo balaa! unakuta wife akichukua bajaji ni hiyo hiyo kudadeki, hata ikiwa imekula kichwa anaisubiri...alafu akija unakuta anaendesha bajaji kakaa upande upande!
muuza bucha analipa bwana daily maini dah