Watu hawa ni hatari kwa mkeo/ mchumba/ girl friend

Well:
Fundi Cherehani
Fundi Bomba
Mkata Michongoma
E.t.c

Anyways:
Sikujua "wanawake" ni wepesi kiasi hiki!! Dah!!!
 
Mpaka rangi,
Mzaire wa saluni,
taxi driver,
muuza genge,
muuza chips,
mwalimu wa mazoezi
yaani hawa jamaa ni noma kidogo kidogo unaweza ukakuta anammega umpendaye. Hawa wana mivuto sana kwa mabinti.

umesahau madereva wa ofisini. Mke boss, ana dereva anayemfuata asubuhi na kumrudisha jioni.
Ukuzingatia foleni na mnakua wenyewe, Mke anamzoea dreva kuliko .....
 
umesahau madereva wa ofisini. Mke boss, ana dereva anayemfuata asubuhi na kumrudisha jioni.<br />
Ukuzingatia foleni na mnakua wenyewe, Mke anamzoea dreva kuliko .....
<br />
<br />
Pata picha... Mkeo mbunge halafu wewe ni baba wa nyumbani HOUSE HUSBAND
 
Hahaaa,
dah wadada tuna kazi,
Je mbona nyie masaloon kwenu mnafanyiwa scrub na wanawake sie hatusemi
 
Bujubuji mbona hujiamini?
kama una mapungufu hao uliwataja lazima wakumegee jitahidi kufanya mazoezi acha kuendekeza bia na kiti moto au mbuzi.
 
Bujubuji mbona hujiamini?<br />
kama una mapungufu hao uliwataja lazima wakumegee jitahidi kufanya mazoezi acha kuendekeza bia na kiti moto au mbuzi.
<br />
<br />
mi dereva wa guta full time niko mazoezini
 
Mpaka rangi,<br />
Mzaire wa saluni,<br />
taxi driver,<br />
muuza genge,<br />
muuza chips,<br />
mwalimu wa mazoezi<br />
yaani hawa jamaa ni noma kidogo kidogo unaweza ukakuta anammega umpendaye. Hawa wana mivuto sana kwa mabinti.
<br />
<br />
pia kuna wauza nguo za kike hawa nao ni balaa,utafikiri wanasumaku vile
 
halafu wale jamaa wa mwenge hawataki kupaka rangi tu eti hadi wasugue mguu mpaka juu hata huwa sielewi ukikataa upakwi rangi sijui kuna uhusiano wa miguu na kucha?

duh hapa kali. well, nadhani uaminifu na vishawishi vinaenda sambamba.
so, hapa ni uaminifu wa wanawake(dependent variable) na watoa vishawishi(independent variable). kwa hapo naona kumbe hawalazimishwi maana they have a chance to reject.......mnaniangusha mabinti
 
Umemsahau Jirani yako NGONYANI-Mngoni toka songea!
 
me kuna siku nilitaka kumchapa kipenzi changu makofi katkat ya jiji make alitaka kuniletea hzo story za kushikwa shikwa miguuu mbele yangu
 
<font color="#000080"><span style="font-family: arial black">aaaaaaaaah jamani ina maana hao wake/girlfriends zenu ndo mmewashusha hivi? kwamba hawana uaminifu kiasi hiki mmmmmh</span></font>
<br />
<br />
alichokosea ni ku too general ila huo ndo ukweli.Kuna jamaa yangu fulani ni mchinja mbuzi pale vingunguti anawala sana wake za watu kwa kuwahonga maini
 
Nyie mnafanya utani wakati kuna watu humu washajeruhiwa na iyo listi....mi simo bana! Zitarushwa ngumi humu sasaivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…