another problem that faces people who throw themselves in a relation with people who don't match their expectation: expecting change in the partner's behavior wakati wenyewe hawako tayari for a change in our level of tolerance.Ndo hapo sasa. . .
Au unamkubali mtu ukiwa unajua fika ni mnywaji ilaa baadae unaanza kulalamika kuhusu trip zake za bar.
Ule msemo wa 'people get the president they deserve' (watu hupata rais aliye stahili yao) una ujumbe muhimu katika MMU. Kama una mpenzi ujue yeye ndiye stahili yako. Hivyo, acha kudai eti oh huna bahati ya kuwa na mtu mzuri maishani. Hukulazimishwa kuwa naye. Na hulazimishwi kuendelea kuwa naye tu. Daima uamuzi ni wako. Tulia. Tafakari. Chukua hatua. Usihofu. Fanya maamuzi magumu. Ndio. Leo leo. Usisubiri kesho maana kesho haiji.
Ndo hapo sasa. . .
Au unamkubali mtu ukiwa unajua fika ni mnywaji ilaa baadae unaanza kulalamika kuhusu trip zake za bar.
haiwezekani. watu waache kulalamika. walichonacho ndicho wanachokistahili. kama vipi watimue.
mie ananiudhi ila simwachi.
.....lol, ulevi, uvutaji sigara nk ni tabia zinazobadilishika bana
na hasira, kisirani, wivu, uongo, kutotulia, ubazazi n.k je?
Birds of THE SAME FEATHER......Napenda kale kamsemo kakizungu kana kizungu zungu, lakini kana saidia.
Birds of a feather flock together :A S thumbs_up:
Mi nishaachwa siku mingi....mwenzenu
na hasira, kisirani, wivu, uongo, kutotulia, ubazazi n.k je?
Hasira nayo ni tabia?
Yote hayo yanaweza kutoweka iwapo mhusika ataona amepata sababu ya kuacha au yamemchosha yeye mwenyewe.
Inawezekana Mbu ila mpaka mhusika aamue na sio mke/mune amlazimishe kwa malalamiko yasoisha.
Na kweli wifi, lol! If he thinks you are worth it, ataweza ku-adjust ili muwe na furaha as long as its not an unnecessary demand.