physioplus dar
Member
- May 15, 2019
- 69
- 23
Watu husumbuliwa na maumivu ya shingo pale wanapo amka asubuhi
Wakati mwengine aina ya mto wako unaotumia unaweza changia Hasa mto ukiwa
1. Mgumu sana
2. Mkubwa sana
3.Mdogo sana
vitu hivi huaribu uwiano wa kichwa chako na mwili wako pale unapolala na kupelekea misuli ya shingo yako hasa upande mmoja kukaza.
Pia wengine huwa wanakuwa vizuri hasa pale wanapoamua kutotumia mto kabisa kutokana pia na kuwa na aina nzuri ya magodoro
Kama unasumbuliwa na mto wako na unakuletea maumivu kila siku ukiamka jaribu kutafuta mto utakao kufaa
1. Mlaini
2. size ya kati
3. Mto maalum wa kuzuia maumivu ya shingo.
Karibu endelea kuelimika
DPT JOSEPH MWANANGWA 0718 22 48 40View attachment 1110930View attachment 1110931
Wakati mwengine aina ya mto wako unaotumia unaweza changia Hasa mto ukiwa
1. Mgumu sana
2. Mkubwa sana
3.Mdogo sana
vitu hivi huaribu uwiano wa kichwa chako na mwili wako pale unapolala na kupelekea misuli ya shingo yako hasa upande mmoja kukaza.
Pia wengine huwa wanakuwa vizuri hasa pale wanapoamua kutotumia mto kabisa kutokana pia na kuwa na aina nzuri ya magodoro
Kama unasumbuliwa na mto wako na unakuletea maumivu kila siku ukiamka jaribu kutafuta mto utakao kufaa
1. Mlaini
2. size ya kati
3. Mto maalum wa kuzuia maumivu ya shingo.
Karibu endelea kuelimika
DPT JOSEPH MWANANGWA 0718 22 48 40View attachment 1110930View attachment 1110931