Watu 'kupimwa akili'...

Watu 'kupimwa akili'...

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Nasikiaga watu wakisema tu
'tumpeleke hospitali akapimwe akili'
swali hapa hivi vipimo vikoje koje?
kuna mwenye ufahamu?

kuna mashine zinapima nini?damu? au?
 
The Boss usinambie hujawahi kupimwa akili!..ha ha haa!

Kuna mavipimo mengi tu bana. Havihitaji sample za damu wala makohozi...ni vya electronic.
Kawaida brain inapofanya kazi hutumia au kugenerate aina ya umeme ambao ndio hasa hupimwa na mavyombo.
 
Last edited by a moderator:
Nasikiaga watu wakisema tu
'tumpeleke hospitali akapimwe akili'
swali hapa hivi vipimo vikoje koje?
kuna mwenye ufahamu?

kuna mashine zinapima nini?damu? au?

Anapimwa na wenye akili wenzake.
 
Nasikiaga watu wakisema tu
'tumpeleke hospitali akapimwe akili'
swali hapa hivi vipimo vikoje koje?
kuna mwenye ufahamu?

kuna mashine zinapima nini?damu? au?
hakuna mashine za kupima akili,kinachofanyika, at first, the doctor takes a thoroughly history from the patient and the relative(if available), kama ambavyo daktari huwa anaongea na mgonjwa yeyote yule anaekwenda hospitali, then
anafanya what is called a "mental state examination", a doctor carries out an interview with you, he assess your psychological systems and then he gets the diagnosis, and decides whether you are psychologically sick or not, and treats you accordingly
Practically, daktari huwa anafanya mental state examination as he talks to the patient wakati anachukua history ya ugonjwa, hapo hapo anakuwa ana-assess psychological systems za mgonjwa.....
 
Mkuu the Boss,
Katika eneo pana la matibabu ya mwandam akili ni mojawapo.
Ubongo unafanya kazi kwa kutumia vitu kama neuro transitmeter na ni zaidi ya hapo.

Kumpima mtu akili hakuanzii au kuishia katika vipimo tu, ni pamoja na kufanya assessment ya mwenendo wa mtu katika kujieleza, kueleza, kifikra, kujihisi n.k. (psychology).

Vipimo vifanyikavyo ni pamoja na CT scan, MRI ambavyo huangalia mwenendo mzima wa ufanyaji kazi wa ubongo.

Na ikumbukwe kuwa maradhi ya akili si ya aina moja, yamegawanyika katika sehemu nyingi sana.
 
Ni usanii mtupu hamna kitu.
Kuna mwaka fulani yalitokea matetemeko kanda ya kati. Nikashangaa Wakuu wa idara ya GST wakisema eti kesho watatuma wataalam kwenda kupima Kweli bwana kesho yake wakaenda wataalam huku wamebeba thodolite, damplevel, measuring tape eti kupima ukubwa wa tetemeko.
Yani nilisikia aibu kudanganywa kisanii vile. Ivi kweli kipimo cha Ritcher kinapatikanika kwa kutumia damplevel?
Watanzania wajingawajinga waliwaona ni wataalam kweli, kumbe ni magumashi tu.
 
Mkuu the Boss,
Katika eneo pana la matibabu ya mwandam akili ni mojawapo.
Ubongo unafanya kazi kwa kutumia vitu kama neuro transitmeter na ni zaidi ya hapo.

Kumpima mtu akili hakuanzii au kuishia katika vipimo tu, ni pamoja na kufanya assessment ya mwenendo wa mtu katika kujieleza, kueleza, kifikra, kujihisi n.k. (psychology).

Vipimo vifanyikavyo ni pamoja na CT scan, MRI ambavyo huangalia mwenendo mzima wa ufanyaji kazi wa ubongo.

Na ikumbukwe kuwa maradhi ya akili si ya aina moja, yamegawanyika katika sehemu nyingi sana.
bila kusahau kipimo maarufu cha EEG(electroencephalogram).
Namshangaa Dr.Wansegamila hapo juu anasema hakuna vipimo vya functioning ya ubongo.
 
Ni usanii mtupu hamna kitu.
Kuna mwaka fulani yalitokea matetemeko kanda ya kati. Nikashangaa Wakuu wa idara ya GST wakisema eti kesho watatuma wataalam kwenda kupima Kweli bwana kesho yake wakaenda wataalam huku wamebeba thodolite, damplevel, measuring tape eti kupima ukubwa wa tetemeko.
Yani nilisikia aibu kudanganywa kisanii vile. Ivi kweli kipimo cha Ritcher kinapatikanika kwa kutumia damplevel?
Watanzania wajingawajinga waliwaona ni wataalam kweli, kumbe ni magumashi tu.

kwi kwi kwi! Haah nimecheka kweli, hapo umeua...
 
bila kusahau kipimo maarufu cha EEG(electroencephalogram).
Namshangaa Dr.Wansegamila hapo juu anasema hakuna vipimo vya functioning ya ubongo.
Nadhani amesahau au kupitiwa tu.
Siku zote history ya mgonjwa inatoa lead kwa kile Daktari anachotafuta na wala si definite diagnosis.

Magonjwa ya akili yanhusisha sana biochemistry and physics kwasababu it's all about neuron transmission, electro transimission and the likes.

EEC inakuonyesha graphic movement ya function za brain.
CT scan and MRI zinatoa the picture in real time kuhusu function of brain tena in 3D.

Yes, kuna wakati inabidi ku-rely zaidi katika history hasa kwa kujua kuwa ni magonjwa ambayo ni hereditary but not all psychiatry problems are heritary.

Narudia tena, psychiatry ni ugonjwa mpana sana na hata matibabu yake ni very complicated.

Mtu akipata brain injury as a result of accident na kupata tatizo la akili the history will start and ends up on the nature of the accident and trauma sustained,family history plays insignificant if not the minimal role.
At this point things like CT scan, MRI or EEC are pivotal.
 
bila kusahau kipimo maarufu cha EEG(electroencephalogram).
Namshangaa Dr.Wansegamila hapo juu anasema hakuna vipimo vya functioning ya ubongo.

Mkuu, Kama sijakosea Daktari alipokuwa akisema kuhusu vipimo alimaanisha, Ufikiaji wa hitimisho la ugonjwa fulani yaani Diagnosis wa baadhi ya magonjwa mengi ya akili hakuhitaji uwepo wa Electroencephalogram, EEG...na ninakubaliana naye.

Besides, hata EEG yenyewe hutumika kwa baadhi tu ya magonjwa ya akili na yale ya siyo na akili.
 
Back
Top Bottom