Watu maarufu na nyota wana uwezo wa kumfutia mtu dhambi na kumpa baraka ila hawajijui

Watu maarufu na nyota wana uwezo wa kumfutia mtu dhambi na kumpa baraka ila hawajijui

mwibamwiba

Senior Member
Joined
May 22, 2015
Posts
150
Reaction score
38
Watu maarufu popote duniani wanao uwezo usio na shaka kabisa wa kumfutia mtu au familia yake dhambi, na wakishindwa basi kwa namna moja au nyingine wataififisha kwa wao nao kubeba kiasi ikiwa umechafuka sana au kukugawia sehemu ya baraka mpya, uwezo ambao huwezi kuupata hospitali wala kwa mganga yeyote yule duniani.

Watu maarufu hawa waweza kuwa wanamziki maarufu na nyota katika jamii, wacheza mpira, waigizaji mashuhuri kama alivyokuwa marehemu Kanumba, au kundi la the commedy, viongozi wa kisiasa na wa kiserikali waliomahiri na mashuhuri na hiyo haitoshi bali mpaka walio na nyota ya kupendwa kama wakuu wote wa nchi, wawe wa kidemokrasia au lah. Maana wote wapo kwa baraka za Muumba na kila mmoja amepewa moyo mnyenyekevu au mgumu kwa makusudi yake Muumba. Niaje basi wana uwezo huu wa kumfutia mtu dhambi na kumpa baraka?

Mtu katika jamii au kijiji akiwa ametengwa na hatembelewi na watu, au anasemwa kwa mabaya na kumbuka hali hiyo huwepo wakati mwingine kama jambo la asili, yaani hutokea tu watu au jamii hawakupendi bila sababu ya msingi wala bila ya chuki ya mtu yoyote kusema labda ameieneza.

Basi tajiri mmoja tu akimualika mfano mwanamziki wa Bongo wa Fleva mwenye nyota ya kupendwa kama Diamond katika mji uishio kwa ajili ya show katika ukumbi fulani, kisha bila wewe kujua labda kwa huruma yake akasema mwanamziki huyo akifika aje kutembelea nyumba ya mtu aliyetengwa au asiyependwa na jamii yake kisha msanii huyo akae katika familia hiyo kwa muda hata wa saa mbili tu kwa maongezi na japo anywe chai nao (waliotengwa) huku umati ukiwa unamfuata, basi kwa hakika kuanzia siku hiyo familia hiyo itakuwa imefutiwa gundu lote na kuanza kupendwa na jamii nzima,ikiwa ni hoteli au ktk duka basi utauza mpaka...... tiba ambayo kamwe huwezi kuipata kwa mganga wa kienyeji yeyote yule na kumbuka msanii huyu hana masharti bali sharti kuu ni karibu yako tu.

NB;Kumbuka whites ni super race and blessed according to university writings so wao wote ni nyota ukitembelewa nao na ukawakaribisha umependwa zaidi na zaidi.

Ila ni wanamziki wachache wenye nyota wanaojua kwanini hualikwa kwa mamilioni ya shilingi kwenda mahali kwa show,ni Uganda pekee ndio wasanii wa huko wanaojua thamani yao na hili kwani kwa hakika ni sehemu ya utulivu wa kisiasa. Kuhusu viongozi wa kitaifa wao huwa tofauti kwani wao wanabaraka kubwa sana, kiongozi wa kitaifa kwa kupiga nae picha tu au kushikana nae mkono unaweza kuishi kwa uhuru mkubwa katika sehemu uliopo au hata biashara zako mgambo wa jiji wasizikaribie kabisa na kwa kula nae mlo mmoja tu ambao utaoneshwa katika televisheni utakuwa umeweka historia ya vizazi na vizazi vyako.

Lakini nini maana ya nyota> Nyota ni hali isiyoonekana ambayo mtu huzungukwa na hali isiyoelezeka ambayo huwa na mvuto kwa umma ila ni mchakato mpaka kuwa nyota katika jamii kwani kwanza kabisa ni lazima wawepo wanaozitengeneza nyota hizo na wakiamua wana uwezo wa kuzififisha, yaani malaika watu au kwa jina maarufu Usalama wa Taifa wa kila nchi husika, kivipi basi??

Wao ndio huiamua nani awe maarufu hata kama unafaa au la maana wakiamua utakuwa tu,pili vyombo vya habari lakini mlolongo wote huu msimamizi wao Mkuu ni Muumba. Nyota ikiwa kubwa sana ni shida kwa jamii hivyo wao wanaozitengeneza huwa na mbinu za kuzibalance mfano mtu akipendwa kupita kipimo siku akikurupuka akamchukia mtu au akalalamikia kitu fulani basi jamii nzima itaungana nae na hata kuleta uvunjifu wa amani.

Ndio maana basi ni lazima nyota aandaliwe kabla ya kuwa nyota kama ilivyo Marekani kila nyota huwa amezungukwa na kila aina ya mtu walau mmoja toka kitengo fulani,bila hivyo ni shidaaah.na wao wanapoona nyota ya mtu ni kali humshauri kufanya baadhi ya matukio kuibalansi nmfano marehemu 2 pack alikuwa akinyoa upara tu basi vijana wote duniani wangenyoa kesho yake,akifunga kilemba tu hivyo hivyo, akivaa nusu mlegezo ni hali hiyohyo duniani, aliposhauriwa sina hakika kama alikubali...

Lakini kuwa na nyota ni shughuli kwelikweli sawa na mwanamziki maarufu wa TZ, Fid Q aliwahi imba... usupastaa ni sawa na mzigo wa miiba, ukiubeba lazima ukuchome (hivyo pongezi kwa watu maarufu msoto wake wanaoujua ni wachache) ndio maana basi CIA wengi huwa ni maproducer wao kazi yao ni kukaa nyuma ya camera na sio mbele ya camera na kuibua vipaji vya watu maarufu yani kuzipika nyota za watu na wao huonekana kwa nadra siku za upokeaji tuzo wa kazi zao walizoandaa.

Haya ni maoni tu, tupeane elimu kwa nisiyoyajua.

 
Watu maarufu popote duniani wanaouwezo usio na shaka kabisa wa kumfutia mtu au familia yake dhambi na kumpa baraka mpya,uwezo ambao huwezi kuupata hospitali wala kwa mganga yeyote yule duniani
uzi uko poa but ANGALIZO, matumizi ya neno kumfutia mtu dhambi: inabidi mleta UZi awe makini sana, manake ubishi unaeza tokea hapa lols.
 
Kufutiwa dhambi unaelewa maana yake au unazuga tu.? Hata Kanumba na Diamond wamfutie mtu dhambi? Kama wapo watu wanaoweza kuwaza hili kweli tumekwisha.
 
Nimekushangaa mtoa mada. Kazi ya kuwaondolea dhambi wanadamu wamepewa mahalifa wa Mungu, ndio sisi watumishi wake. Sio hao uliowataja.
 
Watu maarufu popote duniani wanao uwezo usio na shaka kabisa wa kumfutia mtu au familia yake dhambi, na wakishindwa basi kwa namna moja au nyingine wataififisha kwa wao nao kubeba kiasi ikiwa umechafuka sana au kukugawia sehemu ya baraka mpya, uwezo ambao huwezi kuupata hospitali wala kwa mganga yeyote yule duniani.

Watu maarufu hawa waweza kuwa wanamziki maarufu na nyota katika jamii, wacheza mpira, waigizaji mashuhuri kama alivyokuwa marehemu Kanumba, au kundi la the commedy, viongozi wa kisiasa na wa kiserikali waliomahiri na mashuhuri na hiyo haitoshi bali mpaka walio na nyota ya kupendwa kama wakuu wote wa nchi, wawe wa kidemokrasia au lah. Maana wote wapo kwa baraka za Muumba na kila mmoja amepewa moyo mnyenyekevu au mgumu kwa makusudi yake Muumba. Niaje basi wana uwezo huu wa kumfutia mtu dhambi na kumpa baraka?

Mtu katika jamii au kijiji akiwa ametengwa na hatembelewi na watu, au anasemwa kwa mabaya na kumbuka hali hiyo huwepo wakati mwingine kama jambo la asili, yaani hutokea tu watu au jamii hawakupendi bila sababu ya msingi wala bila ya chuki ya mtu yoyote kusema labda ameieneza.

Basi tajiri mmoja tu akimualika mfano mwanamziki wa Bongo wa Fleva mwenye nyota ya kupendwa kama Diamond katika mji uishio kwa ajili ya show katika ukumbi fulani, kisha bila wewe kujua labda kwa huruma yake akasema mwanamziki huyo akifika aje kutembelea nyumba ya mtu aliyetengwa au asiyependwa na jamii yake kisha msanii huyo akae katika familia hiyo kwa muda hata wa saa mbili tu kwa maongezi na japo anywe chai nao (waliotengwa) huku umati ukiwa unamfuata, basi kwa hakika kuanzia siku hiyo familia hiyo itakuwa imefutiwa gundu lote na kuanza kupendwa na jamii nzima,ikiwa ni hoteli au ktk duka basi utauza mpaka...... tiba ambayo kamwe huwezi kuipata kwa mganga wa kienyeji yeyote yule na kumbuka msanii huyu hana masharti bali sharti kuu ni karibu yako tu.

NB;Kumbuka whites ni super race and blessed according to university writings so wao wote ni nyota ukitembelewa nao na ukawakaribisha umependwa zaidi na zaidi.

Ila ni wanamziki wachache wenye nyota wanaojua kwanini hualikwa kwa mamilioni ya shilingi kwenda mahali kwa show,ni Uganda pekee ndio wasanii wa huko wanaojua thamani yao na hili kwani kwa hakika ni sehemu ya utulivu wa kisiasa. Kuhusu viongozi wa kitaifa wao huwa tofauti kwani wao wanabaraka kubwa sana, kiongozi wa kitaifa kwa kupiga nae picha tu au kushikana nae mkono unaweza kuishi kwa uhuru mkubwa katika sehemu uliopo au hata biashara zako mgambo wa jiji wasizikaribie kabisa na kwa kula nae mlo mmoja tu ambao utaoneshwa katika televisheni utakuwa umeweka historia ya vizazi na vizazi vyako.

Lakini nini maana ya nyota> Nyota ni hali isiyoonekana ambayo mtu huzungukwa na hali isiyoelezeka ambayo huwa na mvuto kwa umma ila ni mchakato mpaka kuwa nyota katika jamii kwani kwanza kabisa ni lazima wawepo wanaozitengeneza nyota hizo na wakiamua wana uwezo wa kuzififisha, yaani malaika watu au kwa jina maarufu Usalama wa Taifa wa kila nchi husika, kivipi basi??

Wao ndio huiamua nani awe maarufu hata kama unafaa au la maana wakiamua utakuwa tu,pili vyombo vya habari lakini mlolongo wote huu msimamizi wao Mkuu ni Muumba. Nyota ikiwa kubwa sana ni shida kwa jamii hivyo wao wanaozitengeneza huwa na mbinu za kuzibalance mfano mtu akipendwa kupita kipimo siku akikurupuka akamchukia mtu au akalalamikia kitu fulani basi jamii nzima itaungana nae na hata kuleta uvunjifu wa amani.

Ndio maana basi ni lazima nyota aandaliwe kabla ya kuwa nyota kama ilivyo Marekani kila nyota huwa amezungukwa na kila aina ya mtu walau mmoja toka kitengo fulani,bila hivyo ni shidaaah.na wao wanapoona nyota ya mtu ni kali humshauri kufanya baadhi ya matukio kuibalansi nmfano marehemu 2 pack alikuwa akinyoa upara tu basi vijana wote duniani wangenyoa kesho yake,akifunga kilemba tu hivyo hivyo, akivaa nusu mlegezo ni hali hiyohyo duniani, aliposhauriwa sina hakika kama alikubali...

Lakini kuwa na nyota ni shughuli kwelikweli sawa na mwanamziki maarufu wa TZ, Fid Q aliwahi imba... usupastaa ni sawa na mzigo wa miiba, ukiubeba lazima ukuchome (hivyo pongezi kwa watu maarufu msoto wake wanaoujua ni wachache) ndio maana basi CIA wengi huwa ni maproducer wao kazi yao ni kukaa nyuma ya camera na sio mbele ya camera na kuibua vipaji vya watu maarufu yani kuzipika nyota za watu na wao huonekana kwa nadra siku za upokeaji tuzo wa kazi zao walizoandaa.

Haya ni maoni tu, tupeane elimu kwa nisiyoyajua.

Hakuna Binadamu anaye weza kumfutia binadamu mwenzake dhambi alizozifanya hakuna kitu kama hicho hapo umeleta Topic yako ya uongo. Mkuu mwibamwiba Thread yako haina mvuto na sijuwi kwanini Mkuu Invisible ameiweka ? nina shangaa sana Thread pumba kama hizi kuwekwa kwenye hili Jukwaa la Jamii Intelligence?
 
Hakuna Binadamu anaye weza kumfutia binadamu mwenzake dhambi alizozifanya hakuna kitu kama hicho hapo umeleta Topic yako ya uongo. Mkuu mwibamwiba Thread yako haina mvuto na sijuwi kwanini Mkuu Invisible ameiweka ? nina shangaa sana Thread pumba kama hizi kuwekwa kwenye hili Jukwaa la Jamii Intelligence?

Mkuu samahani, naomba kujuzwa hili, kuna madhara yoyote kiafya kunywa Chai ya rangi nikachanganya na ndimu au limao?
 
Hakuna Binadamu anaye weza kumfutia binadamu mwenzake dhambi alizozifanya hakuna kitu kama hicho hapo umeleta Topic yako ya uongo. Mkuu mwibamwiba Thread yako haina mvuto na sijuwi kwanini Mkuu Invisible ameiweka ? nina shangaa sana Thread pumba kama hizi kuwekwa kwenye hili Jukwaa la Jamii Intelligence?

Huyu mwibamwiba anakufuru kwa kuwa mjumbe wa ibilisi Jf
 
Last edited by a moderator:
Mkuu samahani, naomba kujuzwa hili, kuna madhara yoyote kiafya kunywa Chai ya rangi nikachanganya na ndimu au limao?
Mkuu denoo49 Samahani hap siwezi kukupa faida unayoitaka itakuwa ninaharibu Thread ya watu ukihitaji nitafute kule kwenye jukwaa la JF Doctor ukiniuliza kitu nitaweza kukujibu kama hupajuwi bonyeza hapa.JF Doctor
 
Last edited by a moderator:
Hakuna Binadamu anaye weza kumfutia binadamu mwenzake dhambi alizozifanya hakuna kitu kama hicho hapo umeleta Topic yako ya uongo. Mkuu mwibamwiba Thread yako haina mvuto na sijuwi kwanini Mkuu Invisible ameiweka ? nina shangaa sana Thread pumba kama hizi kuwekwa kwenye hili Jukwaa la Jamii Intelligence?

bora useme wewe mkuu uongo nje nje umeanza kutawala humu
 
Hii peleka jukwaa la siasa haya mambo kayafanya Mbowe.
 
Kuna watu wengine nahisi vichwani hawanaga ubongo.

Tukiwapasua vichwa tutakuta wamejaa kamasi tu.
 
Hakuna Binadamu anaye weza kumfutia binadamu mwenzake dhambi alizozifanya hakuna kitu kama hicho hapo umeleta Topic yako ya uongo. Mkuu mwibamwiba Thread yako haina mvuto na sijuwi kwanini Mkuu Invisible ameiweka ? nina shangaa sana Thread pumba kama hizi kuwekwa kwenye hili Jukwaa la Jamii Intelligence?

Uzi uko Poa japo una dosari kadhaa badala ya kulaumu tuliza akili kama GT usome maudhui yake then kwann uhoji mods kuweka hapa? huelewi hii ni forum huru...Maoni yoyote yanapokelewa na wana forums wanajadili
 
Uzi uko Poa japo una dosari kadhaa badala ya kulaumu tuliza akili kama GT usome maudhui yake then kwann uhoji mods kuweka hapa? huelewi hii ni forum huru...Maoni yoyote yanapokelewa na wana forums wanajadili
Mkuu Tesla Senior Nikuulize Swali? Hivi wewe unayo akili kuwa kuna Binadamu anao uwezo wa kumfutia binadamu mwenzake dhambi? Hata Malaika hawakupewa uwezo wa kuwafutia Binadamu dhambi itakuwa binadamu amfutie binadamu mwenzake dhambi? hivyo umesoma mpaka darasa la ngapi? upo dini gani? Sijuwi huko unako fuata imani ya Dini yako labda kuna Sheikh au Mchungaji anao uwezo wa kumfutia Muumini wake Dhambi ? kwangu mimi kitu hicho hakuna na wala haitatokea hata siku moja Binadamu amfutie binadamu mwenzake dhambi. Mukitaka kusema kitu kwanza tumieni akili na kufikiria sio tu kuropoka ovyo na kuleta maneno ya pumba hili jukwaa ni muhimu sana tuwe Ma Great Thinker wazuri tusiwe kama watu hatujaenda shule samahani kama nimekukwaza.
 
Mkuu Tesla Senior Nikuulize Swali? Hivi wewe uanyo akili kuwa kuna Binadamu anao uwezo wa kumfutia binadamu mwenzake dhambi?Hata Malaika hawakupewauwezo wa kuwaffutia Binadamu dhambi itakuw abinadamu amfutie binadamu mwenzake dhambi? hivyo umesoma mpaka darasa la ngapi? upo dini gani? Sijuwi huko unako fuaaDini yako labda kuna sheikh au mchungaji anao uwezo wa kumfutia Muumini wake Dhambi ? kwangu mimi kitu hicho hakuna na wala haitatokea hata siku moja Binadamu amfutie binadamu mwenzake dhambi. Mukitaka kusema kitu kwanza tumieni akili na kufikiria sio tu kuropoka ovyo na kuletamaneno ya pumba hili jukwaa nimuhimu sana tuwe Ma Great Thinker wazuri tusiwe kam watu hatujaenda shule samahani kama nimekukwaza.
Mimi ni atheist mkuu so mambo ya dhambi au bahati na nyota ni myth tu i dont believe such things
 
Last edited by a moderator:
Mimi ni atheist mkuu so mambo ya dhambi au bahati na nyota ni myth tu i dont believe such things
Wewe huna Dini ina maana mtu ambae upo upo hujijuwi hata umekuja duniani kwa malengo gani? Mkuu Tesla Senior Kaa na imani yako ingelifaa usinge kuja kuchangia hapa kunahusu watu wenye imani ya dini kama sisi sio wewe usiye na dini na unamkataa Mungu aliyekupa pumzi za kuishi na hizo akili ulizokuwa nazo ninakuacha na imani yako Utavuna kile ulichokipanda Mkuu.
 
Kufutiwa dhambi unaelewa maana yake au unazuga tu.? Hata Kanumba na Diamond wamfutie mtu dhambi? Kama wapo watu wanaoweza kuwaza hili kweli tumekwisha.

Amen tena hats shetani huwapenda watu wapoteao namna hii ili awashughulikie mapema.NASHUKURU KWA KULIONA HILI(Tumekwishaaaaa!!?)
 
Back
Top Bottom