Baba yake Faraja Kota
Nilimsahau mtu muhimu sana.
Hivi yule kiongozi aliyeanguka jukwaani pale jangwani wakati wa ufunguzi wa kampeni hakufa eeh??
baba yake faraja kota
kibaraka umechoka na dunia eeeh!hivi yule kiongozi aliyeanguka jukwaani pale jangwani wakati wa ufunguzi wa kampeni hakufa eeh??
Hivi yule kiongozi aliyeanguka jukwaani pale jangwani wakati wa ufunguzi wa kampeni hakufa eeh??
faraja kota ndo nani??na baba yake alikuwa na umaarufu upi?? Alikuwa nani??
Umeniacha hoi mkuu!!! hiyo avatar na comment yako,balaa!! sina shaka huwezi kuwa mwenye hiyo picha ya avatar. Lol
Nilimsahau mtu muhimu sana.