Watu maarufu nchini waliotutoka mwaka huu 2010.

Ndibalema

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2008
Posts
10,955
Reaction score
4,656
Wakati mwaka 2010 unaelekea ukingoni, sio mbaya tukawakumbuka baadhi ya ndugu zetu (maarufu) waliotutangulia kwa mwaka huu. RIP.

-
Mzee Pwagu - Aliyekuwa mwigizaji wa Kundi la Kaole.




Nico Bambaga - aliyekuwa mchezaji wa Yanga, Simba na Taifa stars.



Juma Mkambi 'Jenerali' (wa kwanza kushoto waliochuchumaa) - Alikuwa mchezaji wa Yanga na Taifa Stars.


Pdidy -



Syllesaid Mziray -Aliyekuwa kocha wa Simba na Taifa stars.


Dr. Remmy Ongala - Aliyekuwa mwanamuziki.



Tuliwapenda sana Nyie mmetangulia na sisi tutafuata.
RIP.

Wengine niliowasahau unaweza ukawongeza kwenye list..........................
 
Aristablus Elvis Musiba. Aliyekuwa mjasiriamali na mtunzi mweledi wa Riwaya za Njama, Kikosi cha Kisasi, Kufa na Kupona, Kikomo pamoja na Hofu. RIP!
 
Yule askofu wa jimbo kuu la Mwanza...Mayalla Anthony,
 
Hivi yule kiongozi aliyeanguka jukwaani pale jangwani wakati wa ufunguzi wa kampeni hakufa eeh??
 
Aristablus Elvis Musiba. Aliyekuwa mjasiriamali na mtunzi mweledi wa Riwaya za Njama, Kikosi cha Kisasi, Kufa na Kupona, Kikomo pamoja na Hofu. RIP!

 
Hivi yule kiongozi aliyeanguka jukwaani pale jangwani wakati wa ufunguzi wa kampeni hakufa eeh??

Umeniacha hoi mkuu!!! hiyo avatar na comment yako,balaa!! sina shaka huwezi kuwa mwenye hiyo picha ya avatar. Lol
 
Na huyo aliyeandikwa P.Didy namuuliza aliyepost the same question atusaidie kwa pamoja

Huyo Pdidy inawezekana sio maarufu kiviile lakini kifo chake kini'make headilines ktk vyombo vingi vya habari nchini na hata humu JF pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…