Watu Maarufu ni wepesi kuharibikiwa nyota hata kama hawajarogwa

Watu Maarufu ni wepesi kuharibikiwa nyota hata kama hawajarogwa

Hizbu Sharifu

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2021
Posts
450
Reaction score
890
Ni kweli watu tunaowaona ni maarufu wanapata athari ya kuharibikiwa nyota zao hata kama hawajarogwa na hii hutokana na kila mtu anaemjua kumchukulia kwa mtazamo wake wengine watampenda na wengine watamchukia, sasa hao wanaomchukia kuna watu wengije jinsi walivyoumbwa wakimchukia mtu au wakichukia kitu basi huharibika na kupotea na ndio sababu watu maarufu wengi wanaondelea mpaka leo ni dhahiri kuna jambo linaloendelea nyuma ya pazia kwa kinga za kiasili.

Unaweza kua na kinga katika zehemu zako zote unazokuwepo katika maisha yako, nyumbani kwako, kwenye gari yako, ofisini kwako na pia kinga ambayo utakua nayo wewe mwenyewe popote uendapo.
 
Ni tangazo la biashara?
 
hizo ni imani tu hauna lolote,mchukie bakhresa bas tuone aharibikiwe
 
sio kweli umesoma wapi dini ikakueleza mambo hayo,

soma mlango wa husda kisha utaelewa
Kwanza mwanaadamu hana nyota.

Pili, huo uchawi au husda(kijicho) ni sababu tu za kusababisha madhara, lakini kudhuru au kutokudhuru hilo ni kulingana na makadirio ya Allah.

Kwa hiyo kuna mashaka gani ya mtu kupata ulinzi endapo ataomba kinga kutoka kwa muumbaji wa hizo sababu?

Na ajbu ni kuwa wewe uanona ulinzi unatoka kwa viumbe na sio muumbaji!

Mpwekeshe Allah.
 
Kwanza mwanaadamu hana nyota.

Pili, huo uchawi au husda(kijicho) ni sababu tu za kusababisha madhara, lakini kudhuru au kutokudhuru hilo ni kulingana na makadirio ya Allah.

Kwa hiyo kuna mashaka gani ya mtu kupata ulinzi endapo ataomba kinga kutoka kwa muumbaji wa hizo sababu?

Na ajbu ni kuwa wewe uanona ulinzi unatoka kwa viumbe na sio muumbaji!

Mpwekeshe Allah.
wapi nimeandika au kusema kua natumia viumbe kwa ajili ya kinga na si muumba
 
Kwanza mwanaadamu hana nyota.

Pili, huo uchawi au husda(kijicho) ni sababu tu za kusababisha madhara, lakini kudhuru au kutokudhuru hilo ni kulingana na makadirio ya Allah.

Kwa hiyo kuna mashaka gani ya mtu kupata ulinzi endapo ataomba kinga kutoka kwa muumbaji wa hizo sababu?

Na ajbu ni kuwa wewe uanona ulinzi unatoka kwa viumbe na sio muumbaji!

Mpwekeshe Allah.
Umesema kweli!

Jamaa ni mtu aina ya kina dokta Manyaunyau.

Tapeli mmoja!
 
Umesema kweli!

Jamaa ni mtu aina ya kina dokta Manyaunyau.

Tapeli mmoja!
asante nashkuru kwa matusi yako, ila usidharau watu usiowajua na nataka nitoe fundisho humu jamii forum ya kutukanatukana watu ovyo, atakuja kuwaahadithia huyu kitakachomtokea
 
sio kweli umesoma wapi dini ikakueleza mambo hayo,

soma mlango wa husda kisha utaelewa
Sasa ww unabisha nini ety?
Kasema ukweli kua Allah anatosha kua mlinzi ukimuamini sasa kipi kakosea hapo
 
asante nashkuru kwa matusi yako, ila usidharau watu usiowajua na nataka nitoe fundisho humu jamii forum ya kutukanatukana watu ovyo, atakuja kuwaahadithia huyu kitakachomtokea
mbona unatisha watu Mkuu?
sasa kakufanya nini ata untka umfanyie ubaya
 
Back
Top Bottom