Ndio maana nasema la kihenga 😂😂Wacha mtoto atuwakilishe bana.
Kwanza umewahi kuona Paskali mlevi au muhuni muhuni? Hili jina limebarikiwa ati.
Sawa Mama Junior [emoji3]Ndio maana nasema la kihenga [emoji23][emoji23]
Mayala je?Wacha mtoto atuwakilishe bana.
Kwanza umewahi kuona Paskali mlevi au muhuni muhuni? Hili jina limebarikiwa ati.
Tofautisha Njaa na Uhuni arifu..Mayala je?
KawaokoteChooni wametupa wangapi?
Mbona waliotajwa wengine ndio tumewafahamu Leo?Hapa amezungumzia watu maarufu kaka sio masela wako[emoji2][emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Linawafaa nyie wahenga bana limekaa kizee zee flani hivi amaizing, bora hata angempa Patrick..... Paskali hapana asee
Nlitaka niseme pia.Tunda na whozu
PM tafadhaliNdio maana nasema la kihenga [emoji23][emoji23]