Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,478
- 3,659
Uko sawa kwenye nyimbo.
Lakini "chengine" na "hichi" ni Kiswahili safi, sana sana lahaja ya Unguja ambayo ndiyo nzee kuliko zote za Kiswahili na wachunguzi wa Kiswahili wanaitambua kama ndiyo "bona fide" swahili.
Kiswahili ni kipana kuliko lahaja yako unayozungumza, ukienda Ngazija huko utakataa kwamba wanachozungumza ni Kiswahili, vile vile Katanga.
Kwa hiyo "hichi" na "chengine" ni Kiswahili sawa.