Watu Milioni 13 wakabiliwa na njaa Kenya, Somalia na Ethiopia

Watu Milioni 13 wakabiliwa na njaa Kenya, Somalia na Ethiopia

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Ukame mbaya unaotokana na msimu wa mvua kwenda tofauti na matarajio kwa miaka mitatu mfululizo umepelekea mazao kuharibiwa, mifugo kufa na watu wapatao Milioni 13 katika Mataifa ya Kenya, Ethiopia na Somalia kukumbwa na njaa

Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula (WFP) linasema kukosekana mavuno na uhaba wa chakula kunalazimu Familia kuacha makazi yao, na msaada wa haraka unahitajika ili kuepusha janga la kibinadamu

Wataalamu wanasema matukio ya hali mbaya ya hewa yanaongezeka kwa kasi kutokana na mabadiliko ya TabiaNchi, huku Afrika ambayo inachangia hilo kwa uchache zaidi ikibeba mzigo mkubwa

=======

An estimated 13 million people in Kenya, Somalia and Ethiopia are facing severe hunger as the Horn of Africa experiences its worst drought in decades, the World Food Programme (WFP) said Tuesday.

Three consecutive rainy seasons have failed as the region has recorded its driest conditions since 1981, the UN agency said.

The drought has destroyed crops and inflicted "abnormally" high livestock deaths, forcing rural families who rely on herding and farming to abandon their homes.

Water and grazing land is in short supply and forecasts of below-average rainfall in coming months only threaten more misery, said Michael Dunford, WFP's regional director in East Africa.

"Harvests are ruined, livestock are dying, and hunger is growing as recurrent droughts affect the Horn of Africa," he said in a statement.

"The situation requires immediate humanitarian action" to avoid a repeat of a crisis like that of Somalia in 2011, when 250,000 died of hunger during a prolonged drought.

Food aid is being distributed across an arid swathe of Kenya, Ethiopia and Somalia where malnutrition rates are high and some 13 million people are at risk of severe hunger in the first quarter of this year.

Some 5.7 million needed food assistance in southern and south-eastern Ethiopia, including half a million malnourished children and mothers.

In Somalia, the number of people classified as seriously hungry is expected to rise from 3.5 million to 4.6 million by May unless urgent interventions are taken.

Another 2.8 million people need assistance in south-eastern and northern Kenya, where a drought emergency was declared in September.

WFP said $327 million was required to respond to immediate needs over the next six months and support pastoral communities to become more resilient against recurring climate shocks.

In 2011, failed rains led to the driest year since 1951 in arid regions of Kenya, Somalia, Ethiopia, Djibouti and Uganda.

Experts say extreme weather events are happening with increased frequency and intensity due to climate change -- with Africa, which contributes the least to global warming, bearing the brunt
 
Shida yooote inasababishwa na viongozi wabovu na wenye uchu wa madaraka
Afrika ni tajiri
Ila wazungu hawataki kutuwacha tufanye maendeleo na michanjo yao
 
Ukame mbaya unaotokana na msimu wa mvua kwenda tofauti na matarajio kwa miaka mitatu mfululizo umepelekea mazao kuharibiwa, mifugo kufa na watu wapatao Milioni 13 katika Mataifa ya Kenya, Ethiopia na Somalia kukumbwa na njaa

Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula (WFP) linasema kukosekana mavuno na uhaba wa chakula kunalazimu Familia kuacha makazi yao, na msaada wa haraka unahitajika ili kuepusha janga la kibinadamu

Wataalamu wanasema matukio ya hali mbaya ya hewa yanaongezeka kwa kasi kutokana na mabadiliko ya TabiaNchi, huku Afrika ambayo inachangia hilo kwa uchache zaidi ikibeba mzigo mkubwa

=======

An estimated 13 million people in Kenya, Somalia and Ethiopia are facing severe hunger as the Horn of Africa experiences its worst drought in decades, the World Food Programme (WFP) said Tuesday.

Three consecutive rainy seasons have failed as the region has recorded its driest conditions since 1981, the UN agency said.

The drought has destroyed crops and inflicted "abnormally" high livestock deaths, forcing rural families who rely on herding and farming to abandon their homes.

Water and grazing land is in short supply and forecasts of below-average rainfall in coming months only threaten more misery, said Michael Dunford, WFP's regional director in East Africa.

"Harvests are ruined, livestock are dying, and hunger is growing as recurrent droughts affect the Horn of Africa," he said in a statement.

"The situation requires immediate humanitarian action" to avoid a repeat of a crisis like that of Somalia in 2011, when 250,000 died of hunger during a prolonged drought.

Food aid is being distributed across an arid swathe of Kenya, Ethiopia and Somalia where malnutrition rates are high and some 13 million people are at risk of severe hunger in the first quarter of this year.

Some 5.7 million needed food assistance in southern and south-eastern Ethiopia, including half a million malnourished children and mothers.

In Somalia, the number of people classified as seriously hungry is expected to rise from 3.5 million to 4.6 million by May unless urgent interventions are taken.

Another 2.8 million people need assistance in south-eastern and northern Kenya, where a drought emergency was declared in September.

WFP said $327 million was required to respond to immediate needs over the next six months and support pastoral communities to become more resilient against recurring climate shocks.

In 2011, failed rains led to the driest year since 1951 in arid regions of Kenya, Somalia, Ethiopia, Djibouti and Uganda.

Experts say extreme weather events are happening with increased frequency and intensity due to climate change -- with Africa, which contributes the least to global warming, bearing the brunt
Thread imepoa 👻👻👿
 
Back
Top Bottom